RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 3,590
- 8,476
Mkuu kwanza ungeangalia mfumo wa elimu wanchi kama India kwa nchi yetu naona unatufaa, kule elimu yao zaidi ya asilimia 70 yaelimu yao baada yamtu kuhitimu kidato cha nne nipractical tu.Sisi kama nchi huru kuna mambo tunapaswa kujisimamia kama nchi kama tulivyojisimamia kwenye corona, sio research zifanyike Bangladesh na Nepal sisi tumeze tu kama dodoki.
Kafilipino kenye miaka 15 utafikiri kana miaka minne, sisi mtoto wa mika tisa keshaanza kuota chuchu, sio mtu aende kwenye kongamano unesco kwa wazungu atuletee kabrash tumeze, hapana.
Hawa chadema wasitake kujipendekeza kwa wazungu kuonyesha wana comply, hapana, lazima tutathimini mazingira tuliyo nayo, mtoto unakomaa nae Feza boys au Marian unatamani asome miaka minne amalize shule namna ada inavyokupeleka mchakamchaka.