China opens the world's longest bridge

Pia hiyo ni njia ya serikali ku distibute wealth yake kwa kuigawa kwa makapuni trough tender. hapo kuna ajira . Through life time ya huo mradi kuna milionea kadhaa wakichina wamekuwa created.

wakati na serikali imefanikiwa kupata infastructure. na kama nilivyosema ni Njia ya kuwieka china katika more competetive postion kwenye construction indutsry. Miaka si mingi makapuni ya ujezi ya ulaya yataanza kusaga meno kama unavyoona vikampuni vyetu vya barabara vinavyolia
lia.



Kwenye ziara ya juzi juzi ulaya PM wa china nasikia alisisitiza kutaka investment na tenology ya Auto kutoka germany wneda china. Germany wasi wasi wao ni technology piracy. teh teh teh Lakini mwisho wa siku mkono kwa mkono. Wakaingia mkataba wachina wamepata wanachotaka na wagermany wamepata wanachotaka sijui ni nini. At the end naona China ni wiinner.

First of all, the whole concept of "wealth distribution" is a failure. I am more interested in "wealth generation" than "wealth distribution".

And this is a very important point. Kwa sababu, mtu aliye interested in "wealth distribution" ataangalia tu njia ya ku distribute wealth, hata kama ni kwa ku engage in some risky projects zisizo na Return on Investment.

Mtu anayeangalia "Wealth Generation" anaweza kuwa na the same concerns za huyu mtu anayeangalia "Wealth Distribution" kama nilivyoongelea hapo juu, (mzunguko wa hela and what not) lakini ataangalia kitu kimoja zaidi ya mtu anayeangalia "wealth distribution", nacho ni, uzalishaji.

It is possible to do "wealth distribution" with productivity. It is also possible to do "wealth distribution" without productivity. The former affords actual economic growth as well as distribution. The latter shrinks the economy at the premium of social issues ( redistributing wealth).

I don't see why the Chinese cannot grow their economy and include more people in their productivity circle at the same time.

If you close your eyes to Return on Investment in order to prioritize wealth distribution, in essence you are saying you are interested in how wealth is distributed than how it is generated. Fine, you may end up with a more egalitarian society, but your total wealth will be shrinking and converging to Juma Nature's concept of "Kugawana Umasikini".

Ningependa kuona system inayogenerate wealth, distribute wealth, na kuongeza percent ya population inayokuwa productive zaidi ya system inayo distribute wealth, shrink economy na reduce the percent of the population that is actually productive.

And all these issues gets us to the simple core issue.

Return on Investment.
 
Kiranga hapo kwneye Aparente umenikumbusha nilisoma kuwa 1 out of three FBI CIA IT expert sio competent. Wengine wako kwenye vitengo ambavyo hawajui hata jinsi ya kufanya kazi zao. walifanya reaserch wenye mambo ya hacking an IT security wakatoa report hiyo.

No wonder wachina hivi sasa wanaweza hata kuwasumbua wamarekani kwenye technolojia ambayo wao USA ndio waanzilishi........

mhh wachina nadhani hizo Risk taking zao ziko calculated na zinawapa faida sana. Export kubwa ya UK USA ni vifaaa vya kijeshi. na china tayari anakuja kwa kasi ya ajabu huko.........

My whole criticism on the Chinese is that, on the surface, it appears that their risk taking appears to be uncalculated.

Wewe unafikiri kwa nini hawa Wamarekani walio so politicized kiasi cha ku defeat concept nzima ya free trade wanaweza kuwaruhusu Wachina waje kujenga high speed railroads US?

I mean Wamarekani wamekataa Dubai ku run ports zao, kwa sababu zilizokosa msingi wa kimantiki kabisa. Yaani wameangalia Dubai = Mwarabu, Osama = Mwarabu, hamna deal.

Unafikiri kwa nini watu hawahawa leo watampa Mchina deals za kuiwire railroad network ya Marekani en masse ?

Tatizo la FBI/ Goverrnment IT bureaus ni kwamba hawawezi kulipa vizuri na kuwa na culture ya private industry. Watu tunataka ku work from home, kwenda kazini once a month, in jeans at that, very informal bureaucracy ( the B in FBI stands for Bureau mind you) kwa hiyo hatuwezi kwenda kufanya kazi huko. Serikali ya US inabidi kuangalia upya jinsi gani ya ku attract wataalam wa LulzSec watoke anti-government camp waingie kuifanyia kazi Holy Roman Empire, wengi washanyanyaswa sana na cops kiasi kwamba I feel sorry for the government in this initiative. I mean kuna wataalam wa IT wa Marekani amabao they would rather work with the Chinese to hack the US government than work for the US gov.
 
Back
Top Bottom