Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,305
- 33,924
Mheshimiwa Chiku Abwao amekuwa kwenye Ziara ya kutembelea vijijini kuhamasisha Uhai wa CHADEMA na kuelezea umuhimu wa kuhesabiwa kwenye Sensa inayotarajiwa kufanyika mwaka huu. Kwenye mikutano hiyo Mheshimiwa Ametembelea Migoli kwenye Jimbo la Isimani na Ibofwee Jimbo la Kilolo.