hahaha nakumbuka nilivyokuwa la kwanza wiki tatu toka nianze shule sikuelewa kengele nini kila wakiigonga mimi maswali kibao why inagongwa na watu maalum kwanini isiwe mimi
mwishowe siku ya siku baada ya kuruhusiwa saa tano hiyo
nikachukua kibegi changu hadi kwenye mti wa kengele nikabeba kinyundo cha kugongea nge nge nge nge nge aiseeeeeee baada ya kuona wanafunzi wanatoka madarasani nikaanza mbio kumbuka naishi karibu na shule aiseeee nilikimbizwa na wanafunzi wote baada ya mwalimu mmoja kusema mkamateni hawakunipata hadi home usitake kujua nini kilitokea
hahhaha duuhhhhKwa bahati nzuri shule yetu ilikua na shamba la miwa....siku ya siku baada ya kutoka shule na ile njaa ya mchana tukapita katika shamba la shule tukiwa kama watu 6 hivi tupate miwa ili safari ya kwenda nyumbani iwe fupi kidogo......tukiwa njiani si tukakamatwa na mwalimu wa zamu....akaturudisha shumbani tukakata miwa mingi zaidi na kurudi tena mpaka shule...akatuambia tule ile miwa mpaka iishe isipokwisha mtajua kwanini nyani akifa miti yote hutereza.......kilicho fuata hapo ilikua ni historia iliyojiandika automatically kichwani mwangu mpaka kesho....!!
tupia kistori kifupi kilichokufanya uchapike skuli kisawasawa
kuna siku nliingia staff nkanywa chai na chapati za tcha wa mathe alinitandika bakora ishirini na tatu mpka wenzangu walinishuku nimemtembelea mchina kwa jins makalio yalivovimba
hahaha nakumbuka nilivyokuwa la kwanza wiki tatu toka nianze shule sikuelewa kengele nini kila wakiigonga mimi maswali kibao why inagongwa na watu maalum kwanini isiwe mimi
mwishowe siku ya siku baada ya kuruhusiwa saa tano hiyo
nikachukua kibegi changu hadi kwenye mti wa kengele nikabeba kinyundo cha kugongea nge nge nge nge nge aiseeeeeee baada ya kuona wanafunzi wanatoka madarasani nikaanza mbio kumbuka naishi karibu na shule aiseeee nilikimbizwa na wanafunzi wote baada ya mwalimu mmoja kusema mkamateni hawakunipata hadi home usitake kujua nini kilitokea
Ebwana eeh! Nilikuwa darasa la tatu...nikiwa kilanja wa darasa wengine wamwita 'monita'...ilikuwa issue hiyo hiyo ya kelele..kuandika wapiga kelele.cwez sahau 2liandikwa wapiga kelele darasa tukachapwa tangu saa 6 mchana mpaka saa 9 mchana na walimu wote staff yani ilikuwa balaa
Ebwana eeh! Nilikuwa darasa la tatu...nikiwa kilanja wa darasa wengine wamwita 'monita'...ilikuwa issue hiyo hiyo ya kelele..kuandika wapiga kelele.
Niliwaandika wapiga kelele matata we acha tu....ilikuwa hivi" yapata asubuhi mvua inanyesha...wanafunzi wanapiga kelele kushinda kelele za mvua iliyokuwa inanyesha juuu ya paa (mabati) ya darasa...na darasa letu lilikuwa karibu na ofisi ya Mwalimu mkuu...nilikuwa tayari ninao wapiga kelele saba maarufu kwenye orodha. Karatasi ya majina hayo niliweka kwenye madaftari yangu. Jamaa sijui wajipinduaje walichomoa karatasi ya majina wakongeza jina langu kinyemela na kurudisha karatasi hiyo kwenye daftari langu.
....mara ghafula mwalimu mkuu akaingia darasani...akauliza monita wapi majina ya wapiga kelele...mimi bila hata kuangalia nikachomoa karatasi yenye majina ya wapiga kelele na kumpa...akaaza kusoma majina hayo ...jina la kwangu likawa la mwisho kusomwa,...kwa mshituko nilioupata wala siweza hata kujitetea, nikaweka rekodi ya kuwa monita wa kwanza kutamkwa hadhari kuwa mpiga kelele...mwalimu mkuu wala hakufanya ajizi akaniita mbele.. na kuanza kutushushia fimbo za "mwanzi"... mimi aliniongezea zaidi kipigo huku akisema..."uendelee hivyo kwa kuwa muungwa na mkweli maishani mwako..."
Aha ha haa..! Kweli huyo 'monita' kanipiku...... kumbe yule monitor alikuwa na tabia ya kuwaandika wapiga kelele in advance incase akija ticha anamkabidhi majina, basi second si akaanza kuita jina moja baada ya jingine mbaya zaidi majina mawili ya kwanza yalikuwa ya washkaj flan wamepigwa suspension kama siku mbili zilizopita weee! Watu si wakaanza kubisha pale 'sir the list is not current' wengine "sir the list is not up to date' bas second akaamua amtie bakora monitor peke yake,jamaa alichezeshwa stiki nyingi sanaaaa na baada ya tukio hilo kila mtu alikuwa na adabu manake monitor alikuwa na hasira ya kufanya revenge ya fimbo alizokula, tabia ya kelele zisizo na msingi ikawa imekoma kwenye darasa lile, fimbo nomaaa!
Aha ha haa..! Kweli huyo 'monita' kanipiku.