The answer is two (2).☆☆Tupunguze Stress kwanza ¤☆☆☆
Angalia Video kwa makini sana Na ukipata Jibu niambie hapo Chini hiki ni kipimo cha IQ na utambuzi wa haraka na ueleze umepataje jibu
View attachment 2945316
Kila Nikikumbuka Jibu la Hilo swali lilivyopatikana Namuangalia Huyo mzee nacheka Sana maana Alivyoona wenzake wamepata ndo alazidi kuchanganyikiwa
Mshindi Wa siku
SIku ya IDDI na Pasaka Nitakupa zawadi na RUKSA KUIDAI hiyo zawadi
Chatgpt ataua watuVp apo yupo sahihi,??View attachment 2945335
Tumia Vernier Caliper jibu linakuja kabisaTumia njia ya venn diagram kupata compliment ya set hiyo, ambapo ukiingiza data utabaki na 10.
DR Mambo Jambo naomba zawadi yangu siku ya Pasaka.
Ameshashinda Uncle bright ndo kajibu kwa uhakika zaidiTumia njia ya venn diagram kupata compliment ya set hiyo, ambapo ukiingiza data utabaki na 10.
DR Mambo Jambo naomba zawadi yangu siku ya Pasaka.
Hiyo utajikuta unatumia triple integral ili kufikia jibu, wakati unge differentiate ungepata majibu mapema ukipachika hapo.Tumia Vernier Caliper jibu linakuja kabisa
Umetimia nini pendulum bob au 4 figure?
LogicUmetimia nini pendulum bob au 4 figure?
Sawa mkuuHiyo utajikuta unatumia triple integral ili kufikia jibu, wakati unge differentiate ungepata majibu mapema ukipachika hapo.
DR Mambo Jambo nikukumbushe lini zawadi yangu?
LogicLogic
Ninasubiri zawadi ya best loserAmeshashinda Uncle bright ndo kajibu kwa uhakika zaidi
30 cows, 20 eat chikens. So 10 didn't☆☆Tupunguze Stress kwanza ¤☆☆☆
Angalia Video kwa makini sana Na ukipata Jibu niambie hapo Chini hiki ni kipimo cha IQ na utambuzi wa haraka na ueleze umepataje jibu
View attachment 2945316
Kila Nikikumbuka Jibu la Hilo swali lilivyopatikana Namuangalia Huyo mzee nacheka Sana maana Alivyoona wenzake wamepata ndo alazidi kuchanganyikiwa
Mshindi Wa siku
SIku ya IDDI na Pasaka Nitakupa zawadi na RUKSA KUIDAI hiyo zawadi
Hapo lazma uaply Intergration, Na baadae uaply lon ukimaliza unadifferntiate🤣🤣Hiyo utajikuta unatumia triple integral ili kufikia jibu, wakati unge differentiate ungepata majibu mapema ukipachika hapo.
DR Mambo Jambo nikukumbushe lini zawadi yangu?
Umechelewa Kujibu Probably itakuwa Umeangalizia kwa Uncle bright 🤣🤣🤣🤣🤣Ninasubiri zawadi ya best loser
Dah 😂😀, mkwe Selikavu ona shemeji yangu anacho lalamikia🤣Ungesema kabisa kwenye Title kama ni Video nisingekuja humu ,ona sasa Mb zangu 98 nilipanga zifike J3 zimenikimbia sasa ..
Cc : Intelligent businessman