Hujasikia kuna mtu wa Mbozi anasema itamfaa sana hiyo,sijui huenda atatumia kuandikia notisi za kufundishia primary school,40 GB enzi hizi lohWajuzi wa electronic devices mnaionaje hii aina ya laptop na bei yake. Inaendana kweli?
hizo laptop ni vimeo full..mara nyingi hufa kwenye power button...