msomi kutoka znz
JF-Expert Member
- Sep 18, 2017
- 601
- 2,696
Habari, zingatia kichwa habari, ndugu nauza chaser avante vvti engine ipo kwenye hali nzuuri sana. gari ina engine na gear box original, kabla ya kutaka kuuza nimepiga rangi mkono mmoja, sports rims, shock up hazigongi, new tires.
Bei 4m.
0658007766
Bei 4m.
0658007766