Charles Mullinda wa New Habari: Nimejitoa Kwenye Jukwaa La Wahariri Tanzania

naona kiswahili siku hizi kimekuwa kigumu kweli kukielewa, toka lini kusimamishwa kukawa na effect sawa na kujitoa? ingekuwa baraza au jukwaa la wahariri wame mfukuza uanachama halafu yeye akaleta hadithi ya kujitoa, ungeeleweka.
Unajua mdogo wangu labda nirudie tena, mnashindwa mtihani siyo kwa kuwa hamna akili bali ni kwa kujibu maswali ambayo hamkuyaelewa. Nimetumia analogy ya mwanafunzi kuelezea yalotokea, kwani MULLINDA ni mwanafunzi? Elewa maelezo mkuu kumbuka kuwa we live in the world of similies ana similarities so we have got to be careful before we comment!!!!
 
Mkuu hapa sio denti kafukuzwa shule na baadae kuacha shule, hapa ni Denti Kasimamishwa shule nae kaamua kuacha shule!!!
Hiyo ni comment yako mkuu wala siyo ya kwangu, ya kwangu ndo hiyo niloiandika. Don't feed me with your words, come with yours!!!!
 
Hiyo ni comment yako mkuu wala siyo ya kwangu, ya kwangu ndo hiyo niloiandika. Don't feed me with your words, come with yours!!!!
mkuu hapa tatizo nini sasa? au ndo hasira baada ya kuona mfano wangu umeendana vzr na tukio husika? narudia tena na haya ni maneno yangu si yako mkuu, Denti kasimamishwa shule =Jukwaa la wahariri kumsimamisha jamaa na Denti kaamua kuacha shule= Jamaa kajitoa kwenye jukwaa la wahariri!!!! HAJAFUKUZWA, KAJITOA baada ya KUSIMAMISHWA!!!! ......
 
mkuu hapa tatizo nini sasa? au ndo hasira baada ya kuona mfano wangu umeendana vzr na tukio husika? narudia tena na haya ni maneno yangu si yako mkuu, Denti kasimamishwa shule =Jukwaa la wahariri kumsimamisha jamaa na Denti kaamua kuacha shule= Jamaa kajitoa kwenye jukwaa la wahariri!!!! HAJAFUKUZWA, KAJITOA baada ya KUSIMAMISHWA!!!! ......
Anyways, mkuu, I'm sorry best, i was confused na mambo mengine nikajikuta nkireplace kwako. Once again I'm sorry accept my apologies please!!!!!
 
Toka lini Tanzania kukawa na jukwaa la kweli la wahariri?

Tanzania kuna kikundi cha wanasiasa waliojificha kwa kutumia kinga ya uhariri huku wakitumia kalamu zao kuwasilisha ujumbe wa kisiasa kwa manufaa yao na huku wengine wakihariri kwa nguvu ya msukumo wa bahasha za khaki.

Kadri tunavyokaribia kupata katiba mpya na kufanyika uchaguzi mkuu, ndiyo jinsi wanavyokuwa DESPERATE kutaka kutimiza malengo yao ya kisiasa. Kwa kufanya hivyo, wanajikuta pia wakijivua ngozi FAKE ya uhariri na kubakia na ngozi yao hasa ya uanasiasa na upokeaji rushwa za kisiasa.

THINGS ARE FALLING APART na siyo ajabu hata jina pia litabadirika na kuwa jina lake halisi ambalo ni POLITICAL PLATFORM AND POLITICALLY CORRUPT.

Who'll be next to call it QUITS?.


TEF, ni timu ya mashambulizi ya EL, sasa inasambaratika, hawakumfahamu Mulinda, yule ni nyoka asiyefugika, walidhani atatosheka na vijisenti vya EL, sasa wanaumbuka.

Thanks Mulinda, wanzio wamepumbazwa na hivyo vijisenti vya EL, hawakuweza kukusoma vizuri wakauona ukweli kuhusu mahusiano yao na mwenzao, ila wote mtalipa madhila mliyowatendea Watanzania.

Kibanda alifikia hatua ya kudhihaki ajali ya Dr Mwakyemba pamoja na alivyougua ngozi, sasa naye yupo kwenye kitanda cha hospitali, katumika na jamaa hawana shida naye, kwa nini sasa wasintose, wenzie wanadhani hafahamu, kanusa hatari, lakini bado wenzie hawashituki kwamba ulipomtembelea hospitali mlizungumza mengi, ikiwemo mawasiliano ya vigogo wa TEF na Ludo!!!!!

Mtama ushamwagwa, sasa endeleeni kuutapanya, kuku waendelee kudonoa.

Dhambi inawatafua TEF na heri imewahi ili Watanzania wawaelewe vizuri wasije pumbazwa na propaganda zenu chafu!
 
E bwanae usituchanganye.. sisi tumesikia kuwa umesimamishwa.. sasa hili la kujitoa, mi naona unajikosha vile...muda utatuambia ukweli wala usipoteze muda wako kujitetea. Ila pole, maana cv...

...baada ya kula ban ya maisha anaanza kutapatapa, chezeya ban wewe...
 
Hivi huyu Mlinda naye anajihesabu ni mhariri?. Mhariri gani kama huyu ambaye hajui kuandika tarehe hata kwenye barua?. Nenda salama, jitoe salama hakuna anayekuamini!!
 
Nami nilishangaa mbona barua yake haina tarehe wakati ya Jukwaa la Wahariri ina tarehe? Ni mhariri kweli huyu?

Hivi huyu Mlinda naye anajihesabu ni mhariri?. Mhariri gani kama huyu ambaye hajui kuandika tarehe hata kwenye barua?. Nenda salama, jitoe salama hakuna anayekuamini!!
 
Mullinda amejichafua mwenyewe, style yake ya uandishi alipaswa kuandikia uwazi au ijumaa
 
Back
Top Bottom