Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,278
- 4,683
Speculative wapi na generalization wapi?
Angalia isije kuwa wewe kusema generalization ndiyo generalization yenyewe na speculative hata maana yake hujui na huna utashi wa kujua.
Wanaoogopa nini?
Hujajibu.
Umeuliza swali vague, halafu unalalamika jibu speculative?
Mtu atakujibu vipi specific kama swali lako si specific?
Wewe ndiye uliyeanza kwa kutoa hoja vague. Hukusema ni lini na wapi Dr. Kimei alisema anamuogopa Magufuli na anamuogopa kwa lipi.