Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
Inapofikia hatua watu wana njaa wanadai haki yao kwa sababu hawana mahitaji ya msingi lakini ikaonekana baadhi ya viongozi ndani ya serikali na watumishi wa umma wanajilimbikizia fungu kubwa la keki ya taifa wakati wengine wanataabika. Picha hii hapa chini inaonesha kinachotendwa na serikali ya CCM na serikali yake.
Tafakari sana hiii.........ugomvi hauwezi kuisha kama baadhi yetu wana share kubwa namna hiiiiiiii...
Tafakari sana hiii.........ugomvi hauwezi kuisha kama baadhi yetu wana share kubwa namna hiiiiiiii...