Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,596
- 1,071
Nimekasirishwa na kutiwa kichefuchefu na ushuhuda wa Bw. Lusekelo (a.k.a Mzee wa Upako) alipowahubiria wasikilizaji kupitia kipindi chake cha Channnel Ten wakati wa X-mass wiki hii. Disgusting!
Eti alipokwa akiishi Mbalamaziwa Iringa alikuwa akimwona mzee wa Kihehe akibadilisha kuku wawili kupata mzoga wa mbwa aliyegogwa na gari ili akamle. Na kuwajumuisha wahehe kama ndio jadi yao.
Amelizalilisha kabila hili shujaa linaloheshimika Tanzania, atafakari maneno yake na kuwataka radhi Wahehe.
Pia TV iliyorusha kipindi yapaswa kuwataka Wahehe na Wasikilizaji radhi. Si vyema kurusha kila ujinga unaosemwa na wateja.
TCRA na MCT - Tume ya maadili ya vyombo vya habari waadabisheni hawa.