Hili zoezi la kuichangia CCM bado halijaniingia akilini vizuri.
Hawa jamaa ndo wamekuwepo madarakani tangia tunapata uhuru. Wametuibia kwa dizaini zote yaani hata makovu ya Richmond, mikataaba mibovu ya madini na EPA hayajaisha, wanakuja kutuomba tuwachangie warudi kutuibia tena. Hivi sisi watanzania ni nani ameturoga?!
Kuna kipya kweli cha kutarajia kutoka kwao baada ya kuwachangia!?
Hawa jamaa ndo wamekuwepo madarakani tangia tunapata uhuru. Wametuibia kwa dizaini zote yaani hata makovu ya Richmond, mikataaba mibovu ya madini na EPA hayajaisha, wanakuja kutuomba tuwachangie warudi kutuibia tena. Hivi sisi watanzania ni nani ameturoga?!
Kuna kipya kweli cha kutarajia kutoka kwao baada ya kuwachangia!?