Changamoto za Spa za Dar es Salaam kwa wafanyakazi

Binadamu wa sikuhizi hasa wanaume tupo dhaifu sana kingono, mwanamke akisha kushika shika kule lazima mnara usome, na wengine wanakuuliza kabisa "My huu mti vp? Ongeza 50 tu hapo tuukate", na hapo unakuta ameushika, lazima happy ending itokee
Trust me, kuna watu kibao tu nawafanyia na wala hawaerect.. yani kazi inaisha fresh sana. Nawapenda zaidi wale ninaowafanyia wanapitiwa na usingizi, mpaka mwenyewe naona shida kuwaamsha ila inabidi coz of time.
 
Binadamu wa sikuhizi hasa wanaume tupo dhaifu sana kingono, mwanamke akisha kushika shika kule lazima mnara usome, na wengine wanakuuliza kabisa "My huu mti vp? Ongeza 50 tu hapo tuukate", na hapo unakuta ameushika, lazima happy ending itokee
sasa si mfanyiwe massage na wake au wapenzi wenu
 
Trust me, kuna watu kibao tu nawafanyia na wala hawaerect.. yani kazi inaisha fresh sana. Nawapenda zaidi wale ninaowafanyia wanapitiwa na usingizi, mpaka mwenyewe naona shida kuwaamsha ila inabidi coz of time.
Dadaangu kwenye biashara mtu anaangalia wateja wanataka nini,nafikiri hao watalii huko Zanzibar wana exposure wanakuja kwaajili ya huduma yako tu,lakini kibongo bongo Yale ni maeneo ya kujizuia,natazamia mambo yako yataenda sawa
 
Kwann mkuu?
Ni katika kutafakari tu, kwamba mwanaume rijali ,mpambanaji unaendaje kushikwashikwa na malaya wa kwenye madanguro?

Babu yangu kijijini kule hakuwahi hata kuzijua huduma kama hizo ,afya yake ilikuwa fit hadi amefikisha zaidi ya miaka 90.

Leo hii mtu katokea mabonde kusimama huko kaja mjini kajitafuta kakamata vipesa basi utamsikia "daaah! leo nimechoka sana Wacha nikapate huduma ya massage" 😆😆😆😆😆😆😆. Hiyo hela ntamtumia mama yangu tu aseeee

Mjini Kuna mambo yake aseee
 
Back
Top Bottom