Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Chanel Ten hawaku-balance taarifa yao kuhusu tukio la kijiji cha Ndago, Singida na hivyo wameonyesha upendeleo wa dhahiri kwa CCM.
Ktk taarifa ya ya saa moja usiku huu, Ch Ten, ambayo inadaiwa mmoja wa wamilki wake ni RA, wametoa taarifa ya Shigela tu wa UVCCM na kuiacha kimakusudi ile ya CDM aliyoitoa Mwita Waitara iliyoelezea pia tukio hilo.
Pili, Shigela anawalaumu CDM kwa kifo cha mfuasi wao, ameshindwa kuuelezea umma ilikuwaje hao wafuasi wa CCM walikwenda kwenye mkutano wa CDM?
Ktk taarifa ya ya saa moja usiku huu, Ch Ten, ambayo inadaiwa mmoja wa wamilki wake ni RA, wametoa taarifa ya Shigela tu wa UVCCM na kuiacha kimakusudi ile ya CDM aliyoitoa Mwita Waitara iliyoelezea pia tukio hilo.
Pili, Shigela anawalaumu CDM kwa kifo cha mfuasi wao, ameshindwa kuuelezea umma ilikuwaje hao wafuasi wa CCM walikwenda kwenye mkutano wa CDM?