Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Sijui lengo la vyandarua hivi vya JK ni nini zaidi ya
kutukinga na malaria,....
Naona kama vina punguza nguvu za kiume ingawa kwenye
tangazo lao wana kana kata kata.
Toka nimeanza kutumia mambo si shwari,leo mwisho .
Kuna mwenye experience navyo huko?
kutukinga na malaria,....
Naona kama vina punguza nguvu za kiume ingawa kwenye
tangazo lao wana kana kata kata.
Toka nimeanza kutumia mambo si shwari,leo mwisho .
Kuna mwenye experience navyo huko?