TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Wana bndi,nimeamini chama cha siasa chenye nguvu ni kile ambacho kinashirikisha wanachama na wananchi katika mipango na taratibu zote za ufanisi wa ujenzi na utekelezaji wa sera za chama.Mimi binafsi nawapongeza CDM kwa namna wanavyotekeleza hayo.MWISHO NAPENDA KUWA MAKINISHA WANACHADEMA WOTE KWAMBA MSHIKAMANO MIONGONI MWAO NDIO UTAKAO ZIDISHA NGUVU YA CHAMA,ACHANENI NA NGA KILA AINA YA HILA EG.MTAZAMO WA MWANACHAMA NDANI YA CHAMA SI UADUI BALI NI CHANGAMOTO AMBAZO CHAMA NI LAZIMA IZITATUE NA HATIMAYE BUSARA HIZO ZITAKITAMBULISHA CHAMA.MWISHO NAWAPONGEZA MAKAMANDA WOTE KWA NAFASI ZAO KWA NAMNA WANAVYO KING'ARISHA CHAMA.BIG CHADEMA