Taarifa nilizozipata ni kuanzishwa kwa chama kipya cha nguvu ya Umma ambapo inasadikika viongozi wake ni mbunge aliyetimuliwa kutoka NCCR mh. kafulila. maana ya kukiita nguvu ya umma ni kwasababu ya kutaka kuuteka ama kuwachanganya wanachadema kwani hii ni kauli mbiu ya chadema