mshana org
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 2,091
- 618
Hawa Madaktari ni wanyama mmetaka mganga mkuu na katibu mkuu wa wizara waondolewe serikali imefanya hivyo. Saizi mnapa tena amri rais nyie kweli makanjanja wala hamna huruma na binadamu wenzenu.
Tusiangalie upande 1 2 pia tunatakiwa tuheshim madai yao na makubaliano yaliokua yamefikiwa na pinda na madactary hao.kuanzia waziri mpaka mganga mkuu walitakiwa kuondolewa tangu mwanzo pinda aliwafukuza hawa walio ndan ya uwezo wake.na akasema wazir na naibu wake hawa mpaka rais mwenyewe kwakua wako nje ya uwezo wake.madactar walikubali lakn pia walipeana muda wakutimiza hayo.ule muda umepita bila serikali kutekeleza hata 1 chaajabu hata wale waliofukuzwa wapo kazini.hilo kosa lamadactary lilo wapi?na kama kiongoz ameshindwa kusimamia wizara yake vizuri ipo haja gani ya serikali kumkumbatia?au inamaana hatuna wat wengine wenye uwezo wakusimamia wizarahiyo?tusitumie tumbo kufikiri