JS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 2,064
- 499
WanaJF za masiku??
Nimekuwa nikitafakari suala hili nikajikuta nakosa majibu sawa.
Hivi chakula cha taifa letu (national food) ni kipi? kwa mfano kwa Uganda ni matooke i.e. ndizi za matoke zilizopondwa kama ugali zinaliwa na mboga yoyote. na kama ni mgeni ni lazima uonje angalau kijiko kimoja
sasa kwa tanzania ni kipi ni ugali au??
Nimekuwa nikitafakari suala hili nikajikuta nakosa majibu sawa.
Hivi chakula cha taifa letu (national food) ni kipi? kwa mfano kwa Uganda ni matooke i.e. ndizi za matoke zilizopondwa kama ugali zinaliwa na mboga yoyote. na kama ni mgeni ni lazima uonje angalau kijiko kimoja
sasa kwa tanzania ni kipi ni ugali au??