Karibu mkubwa,nilikuwa napitwa na mengi walllahi.................................
-buffering- (wapenzi wa mpira naomba Muokoe jahazi hapa, mana nimeishiwa pose)
nilikuwa napitwa na mengi walllahi.................................
Hali yako vp? Pole sana kwa yaliyokusibunilikuwa napitwa na mengi walllahi.................................
Kwani mkubwa, Cantalisia ni nani wako?nilikuwa napitwa na mengi walllahi.................................
siamnini kama leo umeishiwa poz kabisa my rol modal! Nini kimekusibu? Au mr kakuudhi?
Karibu tuwatch wote Madrid vs Lyon
Nimekutosa wapi.... Mie nasubir kwa hamu uniulize/niambie naona unanibania.... Hebu acha hizo tell bana!
AshaDii we kweli Kiboko. Yaani umekaa tu hapa kutazama watu wakipita, kuskiliza story etc? Haya bwana. Ngoja na mimi nikupe ya kwangu...
Face book I am Humbled kua am your role Model, ni tu kwamba lugha ya mpira is the only thing ambayo nimeshindwa kabisa kuelewa na kujifunza... Mr. ni mara chache kuniudhi kwa kweli.... Hivo akiniudhi hata JF haitakalika...lol
Wee team gani hapo??
Team ninayoisupport mimi ni Arsenal..but kwa hizi mbili mi nawasupport Madrid.
Mr naye ni mpenz wa futbol? Inabidi siku moja moja muwe mnaangalia wote. Soccer ni kitu kirahisi sana kukielewa
I am Man-U because it is the best team of the world, I am T-P Mazembe because it is the best team of Africa and I am Yanga because it is the best team of Tanzania. Na atakae bisha hili atakua anaconfirm tu superiority ya team hizi 3!Lmao.... (sometimes even "I" think am crazy) Ila Roulette huwezi amini maelezo yangu ya 1st post ni genuine..... Haya naomba yako alter....
I am Man-U because it is the best team of the world, I am T-P Mazembe because it is the best team of Africa and I am Yanga because it is the best team of Tanzania. Na atakae bisha hili atakua anaconfirm tu superiority ya team hizi 3!
atakuwa mtego wa noti huyo ndio anatafutwaC'mon bana.... Nani huyo?? Nihusishe basi, (alafu simu mbona hupigi??)
hafu taim, manu wanaongoza kwa bao moja lililofungwa na mkimbizi flani anaitwa valencia.
nikiripoti laivu kutoka old traffodi ni mimi mtangazaji wenu a.k.a "mswaki wa jiti"