Mngendalyasota
Senior Member
- Jan 22, 2011
- 171
- 48
WanaJf, juzi nilikuwa Njombe, Tarafa ya Mdandu nilichoshuhudia huko ni kwamba makamanda Thomas Nyimbo na Alatanga Nyagawa(viongozi CHADEMA wilaya) wanafungua matawi vijijini na mwitikio wa wananchi ni mkubwa sana. Watu wanaona fahari mnoo kwa sasa kutundika bendera za Cdm ktk vijiji mbalimbali isipokuwa kijiji cha Igwachanya ambapo ndo makao makuu ya wilaya mpya ya Wanging'ombe.