Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,428
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza Operesheni kabambe ya kuzunguka Nchi nzima kuelimisha na kuamsha wananchi Nchi nzima.
Operesheni hiyo ambayo Jina lake linahifadhiwa kwa sasa imetangazwa na Mwenyekiti wa Chama hicho , Freeman Mbowe alipokuwa anaongea na Waandishi wa Habari Jijini Arusha.
Mh Mbowe amesema kwamba Operesheni hiyo ni matunda ya Kikao cha Kamati Kuu kilchoketi Mjini Iringa kwa siku 2 kabla ya Mikutano ya hadhara ya Kanda ya Nyasa, ambako amedai kwamba Pazia la Operesheni hiyo litafunguliwa rasmi mwisho wa mwezi huu huko Mkoani Kigoma, na hatimaye kuvuruga kanda ya ziwa Victoria hadi kanda ya Serengeti.
Ikumbukwe kwamba baada ya kuanza operesheni hiyo haitasimama kwa mwaka mzima, ambapo imepangwa kufika kwenye Mikoa, Wilaya, Kata, Vijiji , Vitongoji na Mitaa yote iliyoandikishwa Nchini Tanzania.
Malengo Makuu ya Jambo hili la gharama kubwa ni kuhakikisha kwamba Moto wa kudai KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI unawafikia watu wote wa kada zote Nchi Nzima.
Mungu ibariki Chadema.
Operesheni hiyo ambayo Jina lake linahifadhiwa kwa sasa imetangazwa na Mwenyekiti wa Chama hicho , Freeman Mbowe alipokuwa anaongea na Waandishi wa Habari Jijini Arusha.
Mh Mbowe amesema kwamba Operesheni hiyo ni matunda ya Kikao cha Kamati Kuu kilchoketi Mjini Iringa kwa siku 2 kabla ya Mikutano ya hadhara ya Kanda ya Nyasa, ambako amedai kwamba Pazia la Operesheni hiyo litafunguliwa rasmi mwisho wa mwezi huu huko Mkoani Kigoma, na hatimaye kuvuruga kanda ya ziwa Victoria hadi kanda ya Serengeti.
Ikumbukwe kwamba baada ya kuanza operesheni hiyo haitasimama kwa mwaka mzima, ambapo imepangwa kufika kwenye Mikoa, Wilaya, Kata, Vijiji , Vitongoji na Mitaa yote iliyoandikishwa Nchini Tanzania.
Malengo Makuu ya Jambo hili la gharama kubwa ni kuhakikisha kwamba Moto wa kudai KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI unawafikia watu wote wa kada zote Nchi Nzima.
Mungu ibariki Chadema.