That will never happen...........Kwa hiyo siwezi kutoa maoni kwa ndoto za alinacha.................................
DR. SLAA GO......................GO TO IKULU AND CHADEMA WINS MOST SEATS IN THE HOUSEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
Tendwa ataka vyama kukubali matokeo
17th October 2010
Msajili wa vyama vya siasa nchini, John Tendwa
Msajili wa vyama vya siasa nchini, John Tendwa amevitaka vyama vinavyowania nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano na Zanzibar kukubali matokeo katika uchaguzi utakaofanyika Oktoba 31.
Akizungumza na Nipashe Jumapili katika mahojiano maalum, Tendwa alisema kitendo cha kukubali matokeo ndio ustaarabu na kuonyesha ukomavu wa kisiasa.
Alisema kwamba hadi sasa kampeni za uchaguzi zinakwenda vizuri Tanzania Bara na Zanzibar, licha ya kujitokeza matukio madogo madogo ya wanachama kupigana.
"Napenda kusema baada ya uchaguzi ni vizuri vyama vya siasa (CHADEMA)vikakubali matokeo kwa sababu ndio ustaarabu na ndio uungwana,"
-----------------------------------------------------________________________________________---------------------------------
Hizi ndio ngoma zinazoanzwa kupigwa ,halafu mnasema never ever....aloo siulizi kwa utani ni lazima mjitayarishe kukubali kushindwa ,ili msije mkapata shindikizo la moyo ,jeshi limeshawekwa standby kuwakabili.
Tendwa ataka vyama kukubali matokeo
17th October 2010
Msajili wa vyama vya siasa nchini, John Tendwa
Msajili wa vyama vya siasa nchini, John Tendwa amevitaka vyama vinavyowania nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano na Zanzibar kukubali matokeo katika uchaguzi utakaofanyika Oktoba 31.
Akizungumza na Nipashe Jumapili katika mahojiano maalum, Tendwa alisema kitendo cha kukubali matokeo ndio ustaarabu na kuonyesha ukomavu wa kisiasa.
Alisema kwamba hadi sasa kampeni za uchaguzi zinakwenda vizuri Tanzania Bara na Zanzibar, licha ya kujitokeza matukio madogo madogo ya wanachama kupigana.
"Napenda kusema baada ya uchaguzi ni vizuri vyama vya siasa (CHADEMA)vikakubali matokeo kwa sababu ndio ustaarabu na ndio uungwana,"