Matokeo ndio yametangazwa.....kata ya Saranga iliyopo jimbo la Kibamba imeenda kwa CDM....
Usiwakaririshe watu wanaojitambuwa lugha za wahuni, kazi watafanya punda hapo inatakiwa mipango, ujinga wa hapa kazi tu peleka ccm huko.Hongera zao, kazi kwao sasa kuleta maji, Jimbo lote wao ndio watawala! Mbunge Chadema, Baraza la Madiwani wote Chadema. Sasa hapo ni kazi tuuu.
Usiwakaririshe watu wanaojitambuwa lugha za wahuni, kazi watafanya punda hapo inatakiwa mipango, ujinga wa hapa kazi tu peleka ccm huko.
Hahaaa mnilijuaaa ccm watajitoa awakusoma no mapema
UKAWA safari hii wana kila dalili ya kutoa meya
Matokeo ndio yametangazwa.....kata ya Saranga iliyopo jimbo la Kibamba imeenda kwa CDM....
Ngoja tujipongeze wana saranga, nilitamani sana kushiriki uchaguzi marudio ila nipo nje ya nchi , wife nilimkumbusha asubuhi kuwa ni siku ya kura akaogopa kuwa ccm watachakachua kura yake itaharibika.
Big Bwana mdogo kinyafu
Lowasa vipi kashinda urais?.. !...kwi kwi kwiiii
Hawana hata robo kata.Nimefurahi sana kura yangu imeamua.CCM wamepata kata ngapi jimbo la Kibamba?
Nafarijika sana kuishi Kimara...jimbo la Kibamba.Hawana hata robo kata.
duh hivi kibamba kuna kata ngapi? na je ccm wana ngapi?