ni mwanzo tu na bado.
Kazi ya kuvua magwanda na kuvaa uzalendo inaendelezwa kwa kasi na makada wa ccm waakiongozw na Lyotela na Clovera. wamefanikiwa kuivunja chadema kwa kuzoa viongoz waake akiwamo aaliyekuwaa mwenyekiti wa tawi ndg. Newton Chamkongo. vivaa comrades
hapana! niliuliza tu kwa sababu niliona kama hakuna uhusianoUmaarufu una gharama yake. Sorry kama nimekukwaza.
Aluekwambia chadema kitakuja juu tena nani??muendekeze uchaga na udini unadhani Mungu atakuwa pamoja na nyinyi???labda yesu arejee duniani