Chama cha CHADEMA kimezidi kuonyesha umwamba dhidi ya CCM katika uchaguzi wa kijiji na kitongoji huko Kilosa.
Taarifa zilizoingia hivi punde zinasema katika uchaguzi wa Mkiti kijiji cha Kifinga Mgombea wa CHADEMA Kilango Mshana ameshinda kwa kura 451 dhidi ya 248 za Castory Manga wa CCM.
Katika uchaguzi wa Mkiti wa Kitongoji cha Ruaha B Mgombea wa CHADEMA George Banda ameibuka na ushindi wa kura 428 dhidi ya kura 155 za Abdallah Kimbaa wa CCM
Taarifa zilizoingia hivi punde zinasema katika uchaguzi wa Mkiti kijiji cha Kifinga Mgombea wa CHADEMA Kilango Mshana ameshinda kwa kura 451 dhidi ya 248 za Castory Manga wa CCM.
Katika uchaguzi wa Mkiti wa Kitongoji cha Ruaha B Mgombea wa CHADEMA George Banda ameibuka na ushindi wa kura 428 dhidi ya kura 155 za Abdallah Kimbaa wa CCM