TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
Chama cha democrasia na maendeleo leo kimefanya maandamano ktk sehemu tofaut za nchi,wakati dodoma maandamano wakubwa ya mefanyika na kutikisa mji wa dodoma yakiishiwa na mkutano mkubwa,ajenda ili kuwa ni kupinga mauaji ya arusha,dowans na katiba mpya,huko songea nako maandamano makubwa yamefanyika na sasa mkutano unafanyika,na kwa dar mabibo hapatosh sasa..mtu atakimbia ikulu mwaka huu