sixgates
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 3,979
- 1,662
Ikiwa bado chadema wapo katika Operation ya pamoja daima katika maeneo mbalimbali ya nchi sasa imegundulika main goals za hii operation. Watu wamekuwa wakiuliza ni nini msingi wa hii operation lakini kwa kufuaatilia hotuba za viongozi na makada wa chadema Dr Wilbroad Slaa, mh Mnyika, Tundu lissu, Godbless Lema, john Heche, joseph mbilinyi kwa nyakati tofauti na maeneo tofauti wamekuwa wakisema wazi wazi kuwa kama daftari la kudumu la wapiga kura halitarekebishwa tanzania itaingia barabarani kulidai.
Godbless Lema amesema hayo akiwa tabora, john mnyika nae amesikika jana mjini bukoba akisema haki ya kupiga kura haitaombwa, itapiganiwa, na ndugu tundu lissu akiwa sombetini alisema umma ndio mamlaka ya mwisho katika hili taifa, akaapa lazima daftari la kudumu la wapiga kura lirekebishwe laa sivyo maandamano yatapigwa kona zote za taifa.
Kanakwamba hiyo haitoshi ndugu Heche,mwenyekiti bavicha jana kusema chadema itatumia chopa kumi kuongoza maandamano angani wakati wapiganaji wengine watakuwa ardhini hii ni kama daftari la kudumu la wapiga kura halitarekebishwa
My take.
Siasa za chadema utafikiri hii nchi bado inatawaliwa na wakoloni, ninafuatilia sana kwa ukaribu aina ya matamshi ya viongozi wa chadema kwenye hii mikutano wanahibiri chuki dhidi ya serikali, wanawalisha sumu kali wananchi,kama tutaendelea kuilea chadema ipo siku watatugeuka na kutula nyama. Tukikataae hiki chama kwa nguvu zote.
Godbless Lema amesema hayo akiwa tabora, john mnyika nae amesikika jana mjini bukoba akisema haki ya kupiga kura haitaombwa, itapiganiwa, na ndugu tundu lissu akiwa sombetini alisema umma ndio mamlaka ya mwisho katika hili taifa, akaapa lazima daftari la kudumu la wapiga kura lirekebishwe laa sivyo maandamano yatapigwa kona zote za taifa.
Kanakwamba hiyo haitoshi ndugu Heche,mwenyekiti bavicha jana kusema chadema itatumia chopa kumi kuongoza maandamano angani wakati wapiganaji wengine watakuwa ardhini hii ni kama daftari la kudumu la wapiga kura halitarekebishwa
My take.
Siasa za chadema utafikiri hii nchi bado inatawaliwa na wakoloni, ninafuatilia sana kwa ukaribu aina ya matamshi ya viongozi wa chadema kwenye hii mikutano wanahibiri chuki dhidi ya serikali, wanawalisha sumu kali wananchi,kama tutaendelea kuilea chadema ipo siku watatugeuka na kutula nyama. Tukikataae hiki chama kwa nguvu zote.