johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,147
Hakuna ubishi tena kuwa Kikosi Kazi cha Profesa Mkandala na Zitto Kabwe ndio kimepelekea Mbowe kutolewa Jela na Mikutano ya hadhara kuruhusiwa
Wote tulimsikia Zitto Kabwe akimuombea msamaha Mbowe kwa Rais Samia Kwenye kikao cha Kikosi Kazi cha Prof Mkandalla mbele ya Viongozi wakuu wote wa Vyama vya Siasa
Maridhiano ya Chadema na CCM ni kuhusiana na hawa akina Halima Mdee na wenzake kuingia Bungeni kinyemela ndio nawashauri wawaombe akina Zitto Kabwe wawasaidie hasa mwanasheria wa kimataifa mh Othman Masoud
"Ni Yeye" keshavuta mafao kasepa, nchi ngumu hii!
Wote tulimsikia Zitto Kabwe akimuombea msamaha Mbowe kwa Rais Samia Kwenye kikao cha Kikosi Kazi cha Prof Mkandalla mbele ya Viongozi wakuu wote wa Vyama vya Siasa
Maridhiano ya Chadema na CCM ni kuhusiana na hawa akina Halima Mdee na wenzake kuingia Bungeni kinyemela ndio nawashauri wawaombe akina Zitto Kabwe wawasaidie hasa mwanasheria wa kimataifa mh Othman Masoud
"Ni Yeye" keshavuta mafao kasepa, nchi ngumu hii!