boyayoparuparu
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 343
- 81
Nyinyi msioijua siasa mnahangaika sana na kuhangaisha wengine,chadema ni taasisi inamkumbukaje dr silla,wewe kama unampenda mfuate,taasisi ambayo itashindwa kusimamia uamuzi wake haitufai.labda nikuambie hivi,chadema ni zaidi ya mbowe.