johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,617
- 145,338
Kitendo cha kuwazuia Chadema kuandamana hapa Dar es salaam ni Kuwapa umaarufu wasiokuwa nao
Waachwe Waandamane mtakuja kunishukuru baadae
Maandamano pekee walivyofanya Chadema ni ya kumsindikiza Mzee Lowassa kuchukua Fomu Tume ya Uchaguzi pale Posta house 2015
Baadae walijaribu Peke yao wakaishia Mkwajuni na Akwilina kuuawa lakini yalikuwa maandamano dhaifu sana
Mlale Unono
Waachwe Waandamane mtakuja kunishukuru baadae
Maandamano pekee walivyofanya Chadema ni ya kumsindikiza Mzee Lowassa kuchukua Fomu Tume ya Uchaguzi pale Posta house 2015
Baadae walijaribu Peke yao wakaishia Mkwajuni na Akwilina kuuawa lakini yalikuwa maandamano dhaifu sana
Mlale Unono