Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
WADAU HABARI ZA MCHANA.
NIMEKUWA NIKIFUATILIA BAADHI YA CHAGUZI NDOGO TANZANIA NILICHOGUNDUA NI KUWA KWA MFUMO ULIOPO CCM ITAKUWA IKITANGAZWA MSHINDI KILA UCHAGUZI WAUTAKAO(SI KUSHINDA)
igunga chadema ilishinda ila ccm ikatangazwa.
uzini raza alishinda(si ccm)
chadema kila siku wanafanya mambo kama hawaijui ccm,uchaguzi wa igunga walitumia turufu yacuf hapo arumeru lazima watakuja na mbinu mpya ya wizi.
kumbuka majimbo waliyoshinda chadema 2010 ni kwa sababu ccm walilala wakidhani watanzania ni wale wale na kuelekeza nguvu kwenye urais.
chadema walitakiwa kufungua kesi ya kikatiba ili watanzania waliofikisha miaka 18 toka daftari lilipofanyiwa marekebisho waingizwe kwenye daftari.
wazee akili zao zinahitaji msaada,bibi zetu bado wanaichagua ccm na ccm wanalijua hilo.
chadema hata impeleke obama kuwa kampeni manager wasishangae ccm ikatangazwa mshindi,chadema kupata idadi kubwa ya kura sina hofu nalo ila kutangazwa mshindi ni kitu nyingine.
nitakuwa arumeru kwa ajili ya kampeni za chadema ila viongozi wangu tutafute namna ya kupigana na adui.:A S new:
NIMEKUWA NIKIFUATILIA BAADHI YA CHAGUZI NDOGO TANZANIA NILICHOGUNDUA NI KUWA KWA MFUMO ULIOPO CCM ITAKUWA IKITANGAZWA MSHINDI KILA UCHAGUZI WAUTAKAO(SI KUSHINDA)
igunga chadema ilishinda ila ccm ikatangazwa.
uzini raza alishinda(si ccm)
chadema kila siku wanafanya mambo kama hawaijui ccm,uchaguzi wa igunga walitumia turufu yacuf hapo arumeru lazima watakuja na mbinu mpya ya wizi.
kumbuka majimbo waliyoshinda chadema 2010 ni kwa sababu ccm walilala wakidhani watanzania ni wale wale na kuelekeza nguvu kwenye urais.
chadema walitakiwa kufungua kesi ya kikatiba ili watanzania waliofikisha miaka 18 toka daftari lilipofanyiwa marekebisho waingizwe kwenye daftari.
wazee akili zao zinahitaji msaada,bibi zetu bado wanaichagua ccm na ccm wanalijua hilo.
chadema hata impeleke obama kuwa kampeni manager wasishangae ccm ikatangazwa mshindi,chadema kupata idadi kubwa ya kura sina hofu nalo ila kutangazwa mshindi ni kitu nyingine.
nitakuwa arumeru kwa ajili ya kampeni za chadema ila viongozi wangu tutafute namna ya kupigana na adui.:A S new: