zanzibar huru
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 218
- 108
Si serikali 1 au 2 au3
CHADEMA kama chama kinachotetea haki za wanyonge haiwezi kuwa na sera za unyanyasaji za ccm ndio maana inaunga mkono Wazanzibari kujiamulia kama wanataka kujitoa kwenye Muungano au la
sasa hizi propaganda za kutuambia kuwa CHADEMA ni chama cha wachagga na wakristo zimegonga mwamba
kama CHADEMA wamesimamia haki na wameamua kutounga mkono udhalimu wa Muungano huuu basi sioni sababu kwa nini CHADEMA wasichukue Zanzibar
Sasa tuambieni matawi tenu yako wapi huku bwe juu?
CHADEMA kama chama kinachotetea haki za wanyonge haiwezi kuwa na sera za unyanyasaji za ccm ndio maana inaunga mkono Wazanzibari kujiamulia kama wanataka kujitoa kwenye Muungano au la
sasa hizi propaganda za kutuambia kuwa CHADEMA ni chama cha wachagga na wakristo zimegonga mwamba
kama CHADEMA wamesimamia haki na wameamua kutounga mkono udhalimu wa Muungano huuu basi sioni sababu kwa nini CHADEMA wasichukue Zanzibar
Sasa tuambieni matawi tenu yako wapi huku bwe juu?