mimi nahic cdm bado hawajakomaa kisiasa...kw nn msilete maendeleo pale ambapo sisiem imeshndwa ili cc watanzania tuwaamini kama mnaweza kuongoza si kulalamika tu, wananch tulie na nyie mlie nani amnyamazishe mwingine...kama mnaweza kununua mitambo ya umeme nunueni na matatizo mengne muyasolve ambayo mnahic sisiem imeshndwa ila umma wa tz tuwaamini otherwise hatutaki maneno matupu,waswahili wanasema mkono mtupu haulambwi...igeni mfano wa democratic na republic frm USA, watanzania wamestuka kuwa na nyie mpo