Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Watanzania wanahitaji kuona reli ya Sgr kutoka Dar mpaka Mwanza inafanya kazi hii ni kwa sababu ughali wa maisha utapungua sababu mizigo na abiria watasafiri kwa bei rahisi.
Bwawa la JHNP linazalisha umeme na umeme haukatiki hovyo. Bei ya umme ishuke na umeme usiwe anasa.
Raia wanyonge wasidhulumiwe mali zao. Hili lipo wazi.
Rushwa na ufisadi udhibitiwe ili mali ya umma ilete maendeleo kwa kila mtanzania. Ndio maana leo hii mnaenda kwenu Moshi huku mkipita juu ya daraja la Wami la kisasa.
Nyankurungu 2020.
0742 425245. Kintiku Manyoni
Bwawa la JHNP linazalisha umeme na umeme haukatiki hovyo. Bei ya umme ishuke na umeme usiwe anasa.
Raia wanyonge wasidhulumiwe mali zao. Hili lipo wazi.
Rushwa na ufisadi udhibitiwe ili mali ya umma ilete maendeleo kwa kila mtanzania. Ndio maana leo hii mnaenda kwenu Moshi huku mkipita juu ya daraja la Wami la kisasa.
Nyankurungu 2020.
0742 425245. Kintiku Manyoni