Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 10,164
- 19,754
hadi sasa chadema hoi ni kama wasemaji flani ivi
Acha wivu makonda kakupita mbali sanaCHADEMA tuna think tank kubwa mara elfu kuzidi CCM.. Hawataweza kufanya chochote ambacho hatukijui kabla maana tumewatangulia ufahamu na maono!
Huyo lopolopo ataishia kuharibu trust me..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Alishalewa anasikia raha kuruka ruka tu bila mahesabu.Mwacheni green guard ajitafutie riziki yake
Aahaaaa
ila aliruka vibaya sana
AaahaaaaAlishalewa anasikia raha kuruka ruka tu bila mahesabu.
Ndagu imejibu !! 😱Uti wa mgongo ni sawa na chassis kwenye gari ukishapata hitilafu gari haliwezi kuwa imara tena kama mwanzo
Hilo tukio kama sio kafara basi mwana hana maisha na hatawika kama mwanzo
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi kwa asilimia zoteChadema ni chama cha vipofu ....ccm ni chama cha wahuni ....vyama vya upinzani tz ni vijiwe vya wasanii tu
Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
Umelelewa na nan Kwan! Chadema si Jana tu au unajisahaulishaOna kiazi huyu! Alilelewa na ccm unamjua wewe?
Wapuuzi wanaaminishwa kila mtu nchi hii kaelimika, kapata wealth au utaalamu kwa ajili ya ccm!
Kama ingekuwa hivyo ccm ingeongoza kuwa na wajinga wengi?
Na hayo ya wajinga wengi sio mimi nasema bali tafiti nyingi zimeainisha hayo
Unajua maana ya kulelewa we kijana? Nyie wapenda kulelewa ndio mwishowe mnakuwa kama Shaka, likizo zenu LamuUmelelewa na nan Kwan! Chadema si Jana tu au unajisahaulisha
Nimelelewa na wazazi tafadhali sana tuheshimiane .. CCM ni chama cha majambazi kilichojaa wezi na wapiga diliMmh! Unaijua ccm au unaisikia hii ccm ndo ilkulea wewe Acha kujisahaulisha
Wazazi wako wenyewe ccm ndo jiulizeNimelelewa na wazazi tafadhali sana tuheshimiane .. CCM ni chama cha majambazi kilichojaa wezi na wapiga dili
Sent using Jamii Forums mobile app
Mna miaka 60 maradakani mmeuza kila kitu na sasa mnataka kumalizia na bandari zetu mngekuwa na think tank ya maana msingefanya ujinga kama huu.. Mnachojua ni kukopa na kuuza kila kituThink tank ya kijinga, mna miaka zaidi ya 30 sasa, hamna ofisi, hamjawahi kushika dola sasa hilo li think tank linawasaidia nini?
Umekuwa basi au wakati unakua ccm ilikuwa madarakani na mpaka Leo hii bado ipogi hujaelewa badoUnajua maana ya kulelewa we kijana? Nyie wapenda kulelewa ndio mwishowe mnakuwa kama Shaka, likizo zenu Lamu