Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Ndugu zangu wana JF,
Leo ndiyo siku ya hitimisho ya kampeni zilizodumu kwa takribani mwezi mmoja kampeni za chaguzi ndogo jimbo la kalenga kufatia kifo cha aliyekuwa mbunge na waziri wa fedha marehemu Mgimwa, Leo chama cha Demokrasia na Maendeleo kinahitimisha kampeni zake kwenye uwanja wa Ifunda...nitawaletea kitakachokuwa kinaendelea....
=========
Mwenyekiti ameshawasili na msafara wa wabunge Nasari, Chiku, sugu,Wenje, Heche...Anasubiriwa mgombea atue na chopa.. CCM wamekimbilia mandali..
Chiku anapanda jukwaani anawaeleza wananchi umuhimu wa uchaguzi huu wa kalenga...
Leo ndiyo siku ya hitimisho ya kampeni zilizodumu kwa takribani mwezi mmoja kampeni za chaguzi ndogo jimbo la kalenga kufatia kifo cha aliyekuwa mbunge na waziri wa fedha marehemu Mgimwa, Leo chama cha Demokrasia na Maendeleo kinahitimisha kampeni zake kwenye uwanja wa Ifunda...nitawaletea kitakachokuwa kinaendelea....
=========
Mwenyekiti ameshawasili na msafara wa wabunge Nasari, Chiku, sugu,Wenje, Heche...Anasubiriwa mgombea atue na chopa.. CCM wamekimbilia mandali..
Chiku anapanda jukwaani anawaeleza wananchi umuhimu wa uchaguzi huu wa kalenga...
Kalenga piga kura linda kura
View attachment 145026
View attachment 145026