Bavicha mnachanganyikiwa kweli chama chenu chenyewe wanapigana ndani kwa matofari hiyo nchi mnachukua mnaipeleka wapi.
Mnatia kinyaa kuijadili Chandomo! Kwani hata Tom nyimbo aliibeba sana lkn kwavile ni chama cha Kaskazini, Wakuu wake wakampuuza na kumfanya ajione kama pesa yake anatupa chooni. Ndoo maana kaamua kutumia pesa yake kusomesha maskini kwenye shule iliyo pewa jina lake kule IGELANGO. CDM kina wenyewe hamuoni hata kabwe anatengwa! Lupugage nyee! Muvapuva ngita "MANGODOFU"
Mnatia kinyaa kuijadili Chandomo! Kwani hata Tom nyimbo aliibeba sana lkn kwavile ni chama cha Kaskazini, Wakuu wake wakampuuza na kumfanya ajione kama pesa yake anatupa chooni. Ndoo maana kaamua kutumia pesa yake kusomesha maskini kwenye shule iliyo pewa jina lake kule IGELANGO. CDM kina wenyewe hamuoni hata kabwe anatengwa! Lupugage nyee! Muvapuva ngita "MANGODOFU"