TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 25,008
- 11,395
Hawana kibriSawa tangazeni maandamano Nchi nzima muone kama yataleta Katiba Mpya na ugali mezani kwenu
Lazima wawe wanahama because wako very few
Hawana kibriSawa tangazeni maandamano Nchi nzima muone kama yataleta Katiba Mpya na ugali mezani kwenu
Hawana hela, na maandamano Yao ni usumbufu usione na tijaHii ndio hali halisi kwa sasa huko Mikoani, kwamba Baada ya Mafanikio ya Maandamano ya Amani katika Majiji manne , Maandamano hayo yameanza kutakiwa kila Mkoa.
Taarifa zinaonyesha kwamba Mkoa wa Dodoma unaongoza kwa Wananchi wake kuyataka maandamano hayo ya amani , ambayo mbali na wananchi kuyatumia kama njia ya kuelezea kero zao , ikiwemo ugumu wa maisha ambao haujawahi kutokea tangu Nchi hii ilipopata Uhuru wake, lakini inasemekana Heshima ya Mkoa yanapofanyika Maandamano hayo huongezeka mara dufu , inadaiwa kwamba wanaoshiriki maandamano wanaonekana kama watu wanaojitambua na wenye akili timamu .
Bali Swali letu ni hili, Je Chadema wataweza kutimiza Takwa hili muhimu la Wananchi kote Tanzania ?
Hata sisi polisi tunaikubali chadema siku ikiingia madarakani mishahara yetu itaboreshwa
Wape ushauri kuhusu njia bora zaidi itakayowaletea katiba mpya na ugali “mezani kwao”.Sawa tangazeni maandamano Nchi nzima muone kama yataleta Katiba Mpya na ugali mezani kwenu
Hiyo kanuni huwa inachezeshwa (tilted) na “spana za uchumi na pesa” (economic and fiscal instruments).Demand and Supply
Kanuni ya kawaida kabisa 😂
Hata El Bashir wa Sudan alidhani hivyo wakati yule dada anaongoza maandamano pale Khartoum, lakini yaliyo mpata hata sahau hadi mwisho wa uhai wake hapo gerezani anapo ishi kwa sasa.Ccm wanadai kuwa maandamano ya chadema ni sawa na jogging tu.
Maandamano ya Sudan yaliungwa mkono na nusu ya jeshi la nchi hiyo, ndiyo maana ikafikia hapo.Hata El Bashir wa Sudan alidhani hivyo wakati yule dada anaongoza maandamano pale Khartoum, lakini yaliyo mpata hata sahau hadi mwisho wa uhai wake hapo gerezani anapo ishi kwa sasa.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Chadema na viongozi wa chama litendeeni haki jiji la Dodoma, why majiji manne tu wakati Dodoma ni jiji, tamko lenu la Mtwara lije na suruhu tafadhaliniHii ndio hali halisi kwa sasa huko Mikoani, kwamba Baada ya Mafanikio ya Maandamano ya Amani katika Majiji manne , Maandamano hayo yameanza kutakiwa kila Mkoa.
Taarifa zinaonyesha kwamba Mkoa wa Dodoma unaongoza kwa Wananchi wake kuyataka maandamano hayo ya amani , ambayo mbali na wananchi kuyatumia kama njia ya kuelezea kero zao , ikiwemo ugumu wa maisha ambao haujawahi kutokea tangu Nchi hii ilipopata Uhuru wake, lakini inasemekana Heshima ya Mkoa yanapofanyika Maandamano hayo huongezeka mara dufu , inadaiwa kwamba wanaoshiriki maandamano wanaonekana kama watu wanaojitambua na wenye akili timamu .
Bali Swali letu ni hili, Je Chadema wataweza kutimiza Takwa hili muhimu la Wananchi kote Tanzania ?
DuuuuuhChadema na viongozi wa chama litendeeni haki jiji la Dodoma, why majiji manne tu wakati Dodoma ni jiji, tamko lenu la Mtwara lije na suruhu tafadhalini
Ujumbe ufike ulivyo tafadhali kwenye meza ya viongoziDuuuuuh
Jibu kuntu, kuna watu ni mazwazwa hata hawajui kulinganisha mambo. Umempa za usoIle tulikuwa tumetoka kwenye Vita vya Kagera Uchumi ulikuwa umeliwa na Vita sasa swali ni kwamba Awamu hii ya Samia kuna Vita gani?
Kwahiyo nawe unataka kujisahaulisha governmental intervention in price control in economy? The measures that government can take to ensure goods and services remain affordable to the public?Demand and Supply
Kanuni ya kawaida kabisa 😂
Yaani Yohana mbatizaji kuna muda ananisikitisha sana. I wish ameiona ile comment. Kweli mtu analinganisha hali ya uchumi kipindi nchi inatoka kwenye vita na hali ya sasa nchi ikiwa imezungukwa na amani?!!🤣🤣Jibu kuntu, kuna watu ni mazwazwa hata hawajui kulinganisha mambo. Umempa za uso
Erythrocyte uko sahihi sasa hivi CCM ni cosmetics ile nature haipo tena. Tena kwa sasa mmmmmh.Hii ndio hali halisi kwa sasa huko Mikoani, kwamba Baada ya Mafanikio ya Maandamano ya Amani katika Majiji manne , Maandamano hayo yameanza kutakiwa kila Mkoa.
Taarifa zinaonyesha kwamba Mkoa wa Dodoma unaongoza kwa Wananchi wake kuyataka maandamano hayo ya amani , ambayo mbali na wananchi kuyatumia kama njia ya kuelezea kero zao , ikiwemo ugumu wa maisha ambao haujawahi kutokea tangu Nchi hii ilipopata Uhuru wake, lakini inasemekana Heshima ya Mkoa yanapofanyika Maandamano hayo huongezeka mara dufu , inadaiwa kwamba wanaoshiriki maandamano wanaonekana kama watu wanaojitambua na wenye akili timamu .
Bali Swali letu ni hili, Je Chadema wataweza kutimiza Takwa hili muhimu la Wananchi kote Tanzania ?
1980-85 hukuwepo wewe
Wahusika wanazidi kujitajirisha kwa kutengeneza mazingira ya scarcity.Demand and Supply
Kanuni ya kawaida kabisa 😂
Haya Maandamano yanaenda kwa awamu kinachokuja ni Migomo na Maandamano. Ili huo ukiziwi FEKI uwatoke.Sawa tangazeni maandamano Nchi nzima muone kama yataleta Katiba Mpya na ugali mezani kwenu