Tunawauliza nyie Chadema na viongozi wenu nani kawapa ridhaa ya kuwasamehe na kuwasafisha mafisadi kwa niaba ya Watanzania?Mtoto wa haramu hata mkimtia kwenye chupa atatoa dole. Nyie ni watu hatari sana. Na wewe Lissu usituletee huku mambo ya kesi za mahakamani ambapo mwizi anakuambia wewe wakili "mimi kweli nimeiba nitetee nisifungwe" wewe wakili unapotosha hata kudhulumu aliyeibiwa na hata kumhonga hakimu asimfunge mteja wako. Sasa wewe unatuletea dhuluma zenu za mahakamani kumsafisha fisadi,lol. Mlaaniwe. Hapa iliyofisadiwa ni taifa sio chama wala mwanasiasa. Dhambi itawatafuna.