PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
Mbunge wa CUF, HAJI Khamis Kai wa Jimbo la Micheweni amesema kuwa anawapongeza sana CDM kwa kui'copy CUF kule Zanzibar na kufikia muafaka wa Udiwani na CCM kule Arusha.
Amemaliza kwa kusema kuwa sasa CDM imekuwa CCM 'C' (akikejeli kutokana na CUF kuitwa CCM'B')
Unasemaje mwanajamvi?
Amemaliza kwa kusema kuwa sasa CDM imekuwa CCM 'C' (akikejeli kutokana na CUF kuitwa CCM'B')
Unasemaje mwanajamvi?