R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,573
Toka ajili ya bomu itokee ni takribani siku Tatu sijaona mbuge yeyote wa CHADEMA; Sijui ndo kususia shughuli za bunge au ni passive resistance;
Ushauri wangu wananchi hasa wa BIHARAMULO Tunateseka sana kutokana na mikutano ya CHADEMA inayopelekea vurugu na kiongozi wetu mbunge muda mwingi yupo kwenye mikutano na kusuasua katika vipindi vingi vya bunge ukizingatia na utoro wa wabunge.
Tujue moja ; Je wabunge hawataudhulia vikao au watakuwa wanahudhulia baada ya bajeti kuwa imepitishwa .
TANZANIA IS MORE THA POLITICAL AMBITION
Ushauri wangu wananchi hasa wa BIHARAMULO Tunateseka sana kutokana na mikutano ya CHADEMA inayopelekea vurugu na kiongozi wetu mbunge muda mwingi yupo kwenye mikutano na kusuasua katika vipindi vingi vya bunge ukizingatia na utoro wa wabunge.
Tujue moja ; Je wabunge hawataudhulia vikao au watakuwa wanahudhulia baada ya bajeti kuwa imepitishwa .
TANZANIA IS MORE THA POLITICAL AMBITION