fige
JF-Expert Member
- Jul 4, 2010
- 376
- 61
ni jambo lililo wazi kuwa wenzenu ccm wamepora maeneo mengi sana ambayo kimsingi yalikuwa ni ya umma.mfano wa maeneo hayo ni viwanja vya michezo.
Nionavyo ni kwamba hata chama kingine kikiingia madarakani na kutaifisha hizo mali hakutakuwa na uwezekano wa kugawana, kwa msingi huo basi nawashauri uwepo mkakati madhubuti wa kupata maeneo ya kiuwekezaji ya chama hasa upande wa ardhi ili kujiimarisha kiuchumi na kukifanya chama kiwe na miundombinu endelevu.
Nawasilisha
Nionavyo ni kwamba hata chama kingine kikiingia madarakani na kutaifisha hizo mali hakutakuwa na uwezekano wa kugawana, kwa msingi huo basi nawashauri uwepo mkakati madhubuti wa kupata maeneo ya kiuwekezaji ya chama hasa upande wa ardhi ili kujiimarisha kiuchumi na kukifanya chama kiwe na miundombinu endelevu.
Nawasilisha