CHADEMA mnakatisha tamaa

ishobo

Member
Jan 3, 2014
16
10
Kiukweli wadau napata tabu kidogo nikiwaza dhamira ya dhati ya ukbozi wa Taifa hili inayoonekana kuongozwa kisiasa na CDM.
Chadema imekuwa ikijitahidi kugomea,kutangqza na kutoa misimamo mbalimbali lakini sasa nadiriki kusema ni mbwa qnayebweka bila meno.
Tunapotishiwa kidogo na polisi huwa tunaufyata,tunaanzisha kitu na tunakiachia njiani. Tunaibua ufisadi then tunaachia hapo.
Tuligomea kanuni za bunge la katiba,zikapita,tukalalamika juu ya jura ya siri na wazi haikusaudia kitu pia.
Maoni ya wananchi yakachakachuliwq na Samuel Sitta na maccm,tukazira hqtimaye wakapiga kura wenyewe,wakahesabu wwnyewe na wakatoa majibu wenyewe. SO SAD.
Mkajifanya kuandamana rais asipokee rasimu...sote tumeona kilichotokea.
Kama mliwashindwa ndani ya bunge,nje ya bunge na uelewa wa watanzania ulivyo wa kusuasua...tunajidanganya kujidai kuhamasisha rasimu ikataliwe.
Kuogopa polisi na kubaki jukwaani ni baadhi ya vinachotukatisha tamaa.
Maandamano yawe ya kweli na siyo kutaka kuandikwa magazetini. WE SHALL OVERCOME.ALUTA CONTINUA
 
Jibu la hayo yote ni maandamano yasiyokoma lakini viongozi wetu wa kitaifa waongoze maandamano hayo bila hivyo hamna maandamano.
 
Hata kuandika kiswahili vizuri ni tatizo..! Hizi id nyingine sijui zinaandikwa na chekechea..!
 
Demokrasia inaenda na kuwa na watu (number) nyuma yako... leo hii kiongozi yeyote wa TLP akisema jambo hakuna mtu atasumbuka nae... kwa nini ni kwa sababu idadi ya watu walioko nyuma yao ni wachache.

CDM is minority wafanye juhudi wawe na watu wengi nyuma yao then hakuna litakaloshindikana. yote yaliyoshindikana ni kwa kuwa they are on minority side.
 
Kiukweli wadau napata tabu kidogo nikiwaza dhamira ya dhati ya ukbozi wa Taifa hili inayoonekana kuongozwa kisiasa na CDM.
Chadema imekuwa ikijitahidi kugomea,kutangqza na kutoa misimamo mbalimbali lakini sasa nadiriki kusema ni mbwa qnayebweka bila meno.
Tunapotishiwa kidogo na polisi huwa tunaufyata,tunaanzisha kitu na tunakiachia njiani. Tunaibua ufisadi then tunaachia hapo.
Tuligomea kanuni za bunge la katiba,zikapita,tukalalamika juu ya jura ya siri na wazi haikusaudia kitu pia.
Maoni ya wananchi yakachakachuliwq na Samuel Sitta na maccm,tukazira hqtimaye wakapiga kura wenyewe,wakahesabu wwnyewe na wakatoa majibu wenyewe. SO SAD.
Mkajifanya kuandamana rais asipokee rasimu...sote tumeona kilichotokea.
Kama mliwashindwa ndani ya bunge,nje ya bunge na uelewa wa watanzania ulivyo wa kusuasua...tunajidanganya kujidai kuhamasisha rasimu ikataliwe.
Kuogopa polisi na kubaki jukwaani ni baadhi ya vinachotukatisha tamaa.
Maandamano yawe ya kweli na siyo kutaka kuandikwa magazetini. WE SHALL OVERCOME.ALUTA CONTINUA

Mkuu ni pm nikutumie mchango wa miwani!
 
Jibu la hayo yote ni maandamano yasiyokoma lakini viongozi wetu wa kitaifa waongoze maandamano hayo bila hivyo hamna maandamano.
Mimi siandamani bila kumuona mke wa mbowe na watoto wake mbele ya mandamano.
 
Kiukweli wadau napata tabu kidogo nikiwaza dhamira ya dhati ya ukbozi wa Taifa hili inayoonekana kuongozwa kisiasa na CDM.
Chadema imekuwa ikijitahidi kugomea,kutangqza na kutoa misimamo mbalimbali lakini sasa nadiriki kusema ni mbwa qnayebweka bila meno.
Tunapotishiwa kidogo na polisi huwa tunaufyata,tunaanzisha kitu na tunakiachia njiani. Tunaibua ufisadi then tunaachia hapo.
Tuligomea kanuni za bunge la katiba,zikapita,tukalalamika juu ya jura ya siri na wazi haikusaudia kitu pia.
Maoni ya wananchi yakachakachuliwq na Samuel Sitta na maccm,tukazira hqtimaye wakapiga kura wenyewe,wakahesabu wwnyewe na wakatoa majibu wenyewe. SO SAD.
Mkajifanya kuandamana rais asipokee rasimu...sote tumeona kilichotokea.
Kama mliwashindwa ndani ya bunge,nje ya bunge na uelewa wa watanzania ulivyo wa kusuasua...tunajidanganya kujidai kuhamasisha rasimu ikataliwe.
Kuogopa polisi na kubaki jukwaani ni baadhi ya vinachotukatisha tamaa.
Maandamano yawe ya kweli na siyo kutaka kuandikwa magazetini. WE SHALL OVERCOME.ALUTA CONTINUA

ww pimbi nenda kalale na lumumba wenzako
 
Mimi sipepesi macho ......kama uchaguzi wa serikali za mtaa utafanyika bila maboresho ya daftari na Chadema kushiriki.....nitaamini kwa 100% yale niliyowahi kudokezwa .......maandamano yasiyo na ukomo yameishia wapi? nini kinaendelea? ......kweli sitokwenda 2015 kibudu.....we need serious changes......sio matamko yasiyotekelezeka...sitobishana na mashabiki maandazi......
 
Nawaambia watz wapenda mabadiliko kama mtaendelea kuamini siasa za bila kushikana mashati zitabadili chochote kwetu africa kwa watawala hawa ni kujidanganya. Ona waznz wanavyoheshimiana yote ni juu ya machafuko ya mwaka 2001. Kuna kitu huwa nakiamini sana, kwamba hata kama mtu humuwezi pigana naye, hata akikupiga atakuheshimu. Ila hili la watu kuchakachua kura litaendelea mpaka watu tumwage damu. Vinginevyo tutabaki kuambiwa amani ni tunu. Sasa unajiuliza mbons wanaosema amani ndio wanaopindisha sheria ili wabaki madarakani!!?
 
Kiukweli wadau napata tabu kidogo nikiwaza dhamira ya dhati ya ukbozi wa Taifa hili inayoonekana kuongozwa kisiasa na CDM.
Chadema imekuwa ikijitahidi kugomea,kutangqza na kutoa misimamo mbalimbali lakini sasa nadiriki kusema ni mbwa qnayebweka bila meno.
Tunapotishiwa kidogo na polisi huwa tunaufyata,tunaanzisha kitu na tunakiachia njiani. Tunaibua ufisadi then tunaachia hapo.
Tuligomea kanuni za bunge la katiba,zikapita,tukalalamika juu ya jura ya siri na wazi haikusaudia kitu pia.
Maoni ya wananchi yakachakachuliwq na Samuel Sitta na maccm,tukazira hqtimaye wakapiga kura wenyewe,wakahesabu wwnyewe na wakatoa majibu wenyewe. SO SAD.
Mkajifanya kuandamana rais asipokee rasimu...sote tumeona kilichotokea.
Kama mliwashindwa ndani ya bunge,nje ya bunge na uelewa wa watanzania ulivyo wa kusuasua...tunajidanganya kujidai kuhamasisha rasimu ikataliwe.
Kuogopa polisi na kubaki jukwaani ni baadhi ya vinachotukatisha tamaa.
Maandamano yawe ya kweli na siyo kutaka kuandikwa magazetini. WE SHALL OVERCOME.ALUTA CONTINUA

Tuingie msituni mkuu. Au unaonaje?
 
Mimi siandamani bila kumuona mke wa mbowe na watoto wake mbele ya mandamano.
kwenye hayo maandano siwezi kwenda hata siku moja. nitaandamana humuhumu nyuma ya keyboard. mbowe anahimiza maandamano halafu siku hiyo anakwea pipa kwenda bondeni kwenda kula good time. jioni ataangalia kupitia kwenye TV jinsi tunavyopata kipondo halafu akirudi anakuja kutoa matamko na kwenda kuonesha picha kwa mabwana zake huko ng'ambo na chama kinapata umaarufu.
umeshawahi kuona maandamano kilimanjaro? hafanyi hivyo kwa sababu huko kuna wajomba, mashangazi, baba wadogo nk.
tafakari, chukua hatua.
 
Siasa zetu za upinzani shariti zibadilike na tukishindwa optio ni kutumia njia mbadala za kulazimisha mabadiliko.
 
Ok unahitaji kuolewa na Mbowe? au nawe utaja na familai yako? upuuzi huu. Viongozi wetu wakiuawa na wauaji wa ccm nani ataongoza vita wewe huna hata idea ya uongozi. Ni vita vipi uliona amiri jeshi mkuu yuko front?? na nani atapanga mpango wa vita. Ok basi tufanya hivi... kwa hayo maandama aje mke wa mbowe na watoto wake mbele ya mandamano, wewe na familia yako... na upande wa policcm aje mangu na mkewe na watoto wake mbele?????? au unamwona mbowe kilaza kama wewe? Mbowe ana watu wengi ndani ya nchi hii tena wenye akili na uchungu wa nchi. Ujinga huo.........

Mimi siandamani bila kumuona mke wa mbowe na watoto wake mbele ya mandamano.
 
Kiukweli wadau napata tabu kidogo nikiwaza dhamira ya dhati ya ukbozi wa Taifa hili inayoonekana kuongozwa kisiasa na CDM.
Chadema imekuwa ikijitahidi kugomea,kutangqza na kutoa misimamo mbalimbali lakini sasa nadiriki kusema ni mbwa qnayebweka bila meno.
Tunapotishiwa kidogo na polisi huwa tunaufyata,tunaanzisha kitu na tunakiachia njiani. Tunaibua ufisadi then tunaachia hapo.
Tuligomea kanuni za bunge la katiba,zikapita,tukalalamika juu ya jura ya siri na wazi haikusaudia kitu pia.
Maoni ya wananchi yakachakachuliwq na Samuel Sitta na maccm,tukazira hqtimaye wakapiga kura wenyewe,wakahesabu wwnyewe na wakatoa majibu wenyewe. SO SAD.
Mkajifanya kuandamana rais asipokee rasimu...sote tumeona kilichotokea.
Kama mliwashindwa ndani ya bunge,nje ya bunge na uelewa wa watanzania ulivyo wa kusuasua...tunajidanganya kujidai kuhamasisha rasimu ikataliwe.
Kuogopa polisi na kubaki jukwaani ni baadhi ya vinachotukatisha tamaa.
Maandamano yawe ya kweli na siyo kutaka kuandikwa magazetini. WE SHALL OVERCOME.ALUTA CONTINUA

Mkuu wakati ukiandika huj utumbu kulikuwa na nini nyuma yako?

Mbona kamanunakimbizwa vile
?

Kiswahili hakipandi?
 
Back
Top Bottom