CHADEMA mikutano ya hadhara kila siku inakera

Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.

Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.

Chadema inafanya kazi ya siasa na matunda ya kazi zake yanaonekana, kila kukicha inavuna wanachama hasa toka CCM tena wanachama wenye nyadhifa zao ndani ya chama, na kama ilivyo ada mwisho wa uchaguzi ndio mwanzo wa uchaguzi mwingine,

we kereka lakini Chadema inachanja mbuga huku tunasubiri Nape atangaze sasa CCM ina wanachama Elfu 20 Tanzania nzima
 
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.

Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.

Siku zote wanazuoni wanasema, kama hauna matokeo ya utafiti halisia yaliyothibitishwa, usitoe hukumu.

Ndugu yangu yawezekana wewe si mtanzania, lakini CDM ni nguvu ya watu. Kama isingependwa watu maelfu kwa hiari yao bila hila yeyote, wanahama CCM tena hadharani kwenye mikutano ya hadhara. Mifano ni kule Sengerema, Geita, Muleba na Mwanza.

Nakukumbusha hakuna mahali chama cha siasa kinaweza kuwasiliana na wanachama wake bila kufanya mikutano, makongamano, semina. Mawasiliano haya ndo kujenga uhai wa chama. Pia kisheria, ipo kwenye katiba yetu kwa kurusiwa kukusanyika na kuwasiliana. Wewe ni kipofu wa khali halisi acha uhafidina wa kimagamba jaribu kuchambua upepo wa kisiasa.

CDM inakubalika na ina nguvu , kukubalika kwa wananchi. Na kuna hoja nyingi tu amabzo serikali imeboronga, kwanini wananchi wasipwe ilivyokuwa? Ni kwanini wewe unaiogopa mikutano hiyo? Ukiona hivyo unaogopa kufichuliwa ubadhirifu wa utendaji mbovu wa serikali na ufisadi wa viongozi amabo kwa sasa ni miungu watu.

 
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.

Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.

Mkuu ww unaumia nini CDM wakikosa watu? Nakushauri usubiri kitu kama hicho kitokee alafu ufanye sherehe, acheni kuweweseka period!
 
cdm inabidi ijijenge hasa huko vijijini, ndio maana wako mikoani kila kukicha, kuna vitongoji na sehemu mbali mbali za nchi ambazo wananchi hawajui hata ka chadema ni chama so kama wanataka kuchukua nchi huko vijijini ndio sehemu pa kuchukulia kura
 
KAMA inakukera, usihudhurie. Mimi ninahitaji kuelimishwa, ntakwenda kuwasikiliza ili nielimike

Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.

Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.
 
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.

Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.


Wiki ijayo M4C INAINGIA SEGESE ....NYUMBANI KWA WAZIRI MAIGE IKAWAONESHE WANANCHI WAKE KIBANDA CHAKE CHA BILIONI MOJA....NA IWAULIZE KAMA WAO WAMEAMBULIA KITU.........KAMA MAIGE ALIVUOSEMA AMETUMIA MILIONI 500 za mfumo wake...hapo ni baada ya kutoka semgerema
 
siku serikali iliyopo madarakani itakapoacha kuiba mali ya umma, hakuna mtu atakayehudhuria hiyo mikutano, chadema watajikuta viongozi peke yao. Lakini kwa wizi huu hata ukiwaambia watembee kwa miguu toka Mwanza na Mbeya hadi Dar es salaam watakuwa tayari ili mradi tu uwaahidi kuwa mnakwenda kumkamata mwizi wao mkuuu.
 
Wewe ni mmoja kati ya watu wasiotaka wananchi wajue nchi yao inakwendaje,bila mikutano wananchi wasingejua wizi unaofanywa na viongozi. umeongea pumba tupu
 
Ufisadi, umaskini, ufuska, uharamia nk vyote ccm wanavifanya hadharani tena kila siku......so CDM had to meet them there. CDM is the antidote ya everything that is ccm.
 
hahahaaaaaaaaaa kama hipendi mikutano ya chadema kasage chupa unywe!!


Wanaelimisha umma na umma unawaelewa...


M4C in action
 
Wewe gamba ulitakaje?
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.

Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.
 
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.

Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.
Pole sana bro kwa kuudhiwa na ukweli na mambo mazuri. Watu wa Tanzania wamelala na sasa wanahitaji kuamshwa nawe unachukia. Nchi inapotea wewe unaona sawa na unataka watu waache mikutano. Amka kijana pigania nchi yako, jenga Tanzania.
 
Back
Top Bottom