Wanajamvi napenda kuwashukuru kwa kuendelea na mapambano nami hata nje na kote naamini kua only people who can think will bring changes at once no matter how we are but we shall reach,je maandamano ya chadema mbeya yamekuaje nilijua yanaanza kesho kwa taarifa za kamati kuu kama kuna mtu anajua aseme thanx