DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 3,563
- 5,957
LOWASSA NI FISADI HATA MAGUFUL NAYE NI FISADI.
Mahakama ya mafisadi imekosa wateja!Kwa jinsi nilivyoaminishwa na watu ninaowaamini, Dr Slaa,Lisu, Mnyika n.k, hadi leo naamini ni Fisadi. Ishu ya kutopelekwa mahakamani pengine ni kutokana na kulindana tu cz naamini kuna vigogo waliopo CCM ambao ni maswahiba wake nao ni wezi pia. Na mkichukulia kigezo cha kutofikishwa mahakamani basi hata CCM pengine mafisadi ni Mramba,Mgonja na wengine wadogowadogo tu waliowahi fikishwa huko.
WordA person is presumed innocent until proved otherwise in the courts of law. So the old man is innocent until when the court of law will pronounce otherwise.
Ndio. Mimi ni karunguyeye na Lowassa ni king wa MafisadiTaja kwa ushahidi ufisadi wake. La sivyo wewe ni karunguyeye!
Yanasaidia kujua mgombea anaefaaUkishapata majibu yatakusaidia nini
Kwa aliyeianzisha mahakama ya mafisadi aliianzisha kwaajili ya lowasa?? Mbona hiyo imeanzishwa ili kukabiliana na mtu au wato ambao ni mafisadi... sio kwa ajili ya kumlenga mtu mmoja....Hahahaha Dah! Basi kama jibu ni hapana itabidi alieanzisha hio Mahakama awe yeye ndio Fisadi.
Aeleze utajili wake na mali zake alizozificha kwa kutumia majina ya wa2 wengineTaja kwa ushahidi ufisadi wake. La sivyo wewe ni karunguyeye!
Mleta mada anaumbuka.Lowassa ni fisadi juzi, leo na kesho. Haitakaa ibadilikeswalimbona rahisi sema watu kama nyie mnapoteza kumbukumbu mwanasheria msomi Tundu Lissu alisema ni fisadi ushaidi anao Mbowe,Halima Mdee, Mnyika, Lema , Msigwa wote walimsema ni fisadi kama aliona anasingiziwa angeenda kushitaki bila kumsahau Kubenea na vipeperushi vyake vya mwanahalisi ambaye alisema hasafishiki hata kwa dodoki wamebadilisha kauli baada ya kuvuta mpunga
Sio fisadiWatu mnakwepa swali,unadhani ni fisadi au sio fisadi?
Nafsi inawasuta,ilikuwa propaganda ya kumzuia asiende Ikulu,lakini sasa wanajikaanga wenyewe,walichotegemea sivyo.Mpaka 2020 tutasikia na kuona mengi.Mtu huyo huyo mmoja anasema uzi huu lowassa fisadi,uzi mwingine anasema si fisadi,uzi mwingine anasema hajui!Baada ya kuona hivyo nimegundua hili swali ni gumu sana mioyoni mwa watu!
Hii haidili na vitu vya nyumaAwe fisadi au la kwangu sio lolote si chochote kwa sababu hatachukuliwa hatua yoyote hata kama kweli ni fisadi kwa sababu hata mahakama yenyewe ya mafisadi iliyoanzishwa kwa mbwembwe na kejeli imebuma kabla ya kuanza eti "imekosa kesi"!!?? Kwa hiyo maoni yangu kuhusu Lowassa hayana mashiko! Its a non issue period.
Wakuulizwa ni magufuli na ccm.maana wao ndo walikuwa wabeba bango wakubwa.ukawa tulishashtuka tukaomuomba msamaha yameisha.zamu ya ccm sasa kumtaka radhi lowasa.kama kweli wao ni wastaarabu.hebu kawaulize walokuwa wanasema lowasa fisadi na ikawaje tena wakamkaribisha nadhani unaweza pata majibu!