Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,633
- 28,636
Natanguliza na radhi kama nitakuwa nimekosea.Kila ninapotembea miji mingi humu Kenya, siwezi kukosa vibao vya waganga wa kienyeji wa kutoka Tanzania. Hivi, hawa waganga ni wa ukweli, ama?
Kama wanaweza kutibu mapenzi, ina maana watu Tanzania mapenzi yako tele sababu huwezi kuziba kwa mwenzio huku kwako kunavuja.
Eti, Mganga kutoka TZ,Mjukuu wa Sumbawanga, Nguza uone, Kiboko cha wachawi!
Ukatupa jongoo na mti wake....