Jumamosi iliyopita nilikuwa miongoni mwa makamanda kadhaa wa kadhaa kutoka Morogoro Mjini waliokwenda kuchagiza ushindi wa Mgombea wa CDM ndugu Lukas Mwakambaya ambaye ki uhakika ni kijana jasiri na atakayesaidia maendeleo ya kata ya Mtibwa.
Katika ufunguzi huo ulioongozwa na Mwenyekiti wa Madiwani mkoa wa Morogoro ambaye pia ni Diwani wa Gairo kamanda Mwendi akiongozana na Mwenyekiti wa Morogoro mjini mzee Zuberi Kiloko,ulihudhuriwa pia na Mgombea Ubunge wa CDM mwaka 2005 na 2010 Mhandisi Matokeo Manyeta ulikuwa wa aina yake uliohudhuriwa na watu wengi kudhihirisha Chadema kweli ni Nguvu ya Umma.
Sikuweza kupiga picha, ila next time ntahakikisha nawaletea na picha maana Mathomaso wengi humu JF haswa wale magamba!
PeopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeS Powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!
Katika ufunguzi huo ulioongozwa na Mwenyekiti wa Madiwani mkoa wa Morogoro ambaye pia ni Diwani wa Gairo kamanda Mwendi akiongozana na Mwenyekiti wa Morogoro mjini mzee Zuberi Kiloko,ulihudhuriwa pia na Mgombea Ubunge wa CDM mwaka 2005 na 2010 Mhandisi Matokeo Manyeta ulikuwa wa aina yake uliohudhuriwa na watu wengi kudhihirisha Chadema kweli ni Nguvu ya Umma.
Sikuweza kupiga picha, ila next time ntahakikisha nawaletea na picha maana Mathomaso wengi humu JF haswa wale magamba!
PeopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeS Powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!