minda
JF-Expert Member
- Oct 2, 2009
- 1,068
- 65
wakuu,
hii wakuu imekaaje? nini kifanyike kurekebisha hali hii?
- je ni kweli uvumi kwamba fedha za kugharamikia kampeni kwa uchaguzi wa mwaka huu ni za kugharamikia kampeni za urais tu? (moshi wa kwanza).
- kwamba wagombea/viongozi wengi wana malalamiko ambayo hayasikilizwi na uongozi?(moshi wa pili).
- kwamba kutokana na kupuuzwa huko kwa wagombea/viongozi; hii imepelekea wengine kukata tamaa, na kukisaliti chama? (moshi wa tatu).
- nakaaya ( kukata tamaa),
- akina seme wa mbeya ( usaliti),
- akina nkambaku elisha (usaliti),
- yule mwanafunzi wa UDOM aliyegombea musoma na kuingia mtini ( kukata tamaa),
- akina sugu( kukata tamaa).
hii wakuu imekaaje? nini kifanyike kurekebisha hali hii?