Chadema: Kunapofuka Moshi Kuna Moto!!!

Status
Not open for further replies.

minda

JF-Expert Member
Oct 2, 2009
1,068
65
wakuu,
  • je ni kweli uvumi kwamba fedha za kugharamikia kampeni kwa uchaguzi wa mwaka huu ni za kugharamikia kampeni za urais tu? (moshi wa kwanza).
  • kwamba wagombea/viongozi wengi wana malalamiko ambayo hayasikilizwi na uongozi?(moshi wa pili).
  • kwamba kutokana na kupuuzwa huko kwa wagombea/viongozi; hii imepelekea wengine kukata tamaa, na kukisaliti chama? (moshi wa tatu).
mfano wa watu hao ni kama akina;
  1. nakaaya ( kukata tamaa),
  2. akina seme wa mbeya ( usaliti),
  3. akina nkambaku elisha (usaliti),
  4. yule mwanafunzi wa UDOM aliyegombea musoma na kuingia mtini ( kukata tamaa),
  5. akina sugu( kukata tamaa).
my take:
hii wakuu imekaaje? nini kifanyike kurekebisha hali hii?
 
Kama umetoka Uswazi mawazo yako yatakuwa yamegandishwa na CCM . Huko Uswazi kusiko na huduma muhimu na watoto mnazaa kiutitiri na shule hamuwapeleki sababu hamna uwezo wa kulipa. Mwisho mmebaki na Mateja kibao, magonjwa lukuki na very low life expectancy. Amka huko uliko uje uone mwanga jinsi Mungu anavyopigania taifa lake. Nakaaya is a cheap.?
 
Kama umetoka Uswazi mawazo yako yatakuwa yamegandishwa na CCM . Huko Uswazi kusiko na huduma muhimu na watoto mnazaa kiutitiri na shule hamuwapeleki sababu hamna uwezo wa kulipa. Mwisho mmebaki na Mateja kibao, magonjwa lukuki na very low life expectancy. Amka huko uliko uje uone mwanga jinsi Mungu anavyopigania taifa lake. Nakaaya is a cheap.?

Jibu swali na sio unaanza kumkashifu mwenzako. Jibu swali kwa hoja, ili sote tupate kuelimika.
 
Kama umetoka Uswazi mawazo yako yatakuwa yamegandishwa na CCM . Huko Uswazi kusiko na huduma muhimu na watoto mnazaa kiutitiri na shule hamuwapeleki sababu hamna uwezo wa kulipa. Mwisho mmebaki na Mateja kibao, magonjwa lukuki na very low life expectancy. Amka huko uliko uje uone mwanga jinsi Mungu anavyopigania taifa lake. Nakaaya is a cheap.?


hawa ndio wanaotaka watu wa uswazi waamini na wawape nchi watawale?

kwa matusi hayo hata kwa ambae unahangaika kutafuta kura yake, ni kweli mtaweeza ?
 
Kuwa objective utawaelezaje akina Mpendazoe na wengineo waliotoka CCM kuja Chadema walikotoka Moshi ulikuwa wafuka?
Mgawanyo wa mafungu ndani ya CHADEMA siko deep sana ila kwa level ya ubunge naona wengi hutegemea mafungu binafsi na support ndogo ya CHAMA
 
wakuu,
  • je ni kweli uvumi kwamba fedha za kugharamikia kampeni kwa uchaguzi wa mwaka huu ni za kugharamikia kampeni za urais tu? (moshi wa kwanza).
  • kwamba wagombea/viongozi wengi wana malalamiko ambayo hayasikilizwi na uongozi?
  • kwamba kutokana na kupuuzwa huko kwa wagombea/viongozi; hii imepelekea wengine kukata tamaa, na kukisaliti chama?
mfano wa watu hao ni kama akina;
  1. nakaaya ( kukata tamaa),
  2. akina seme wa mbeya ( kukata tamaa),
  3. akina nkambaku elisha (usaliti),
  4. yule mwanafunzi wa UDOM aliyegombea musoma na kuingia mtini ( kukata tamaa),
  5. akina sugu( kukata tamaa).
my take:
hii wakuu imekaaje? nini kifanyike kurekebisha hali hii?
Sugu amekata tamaa??
Hakuna aliekata tamaa katika list yako bali wote wamerubuniwa kwa pesa so it is plain and simple TAMAA na si Kukata tamaa! Get it? End of story... NEXT :becky:
 
Sugu amekata tamaa??
Hakuna aliekata tamaa katika list yako bali wote wamerubuniwa kwa pesa so it is plain and simple TAMAA na si Kukata tamaa! Get it? End of story... NEXT :becky:

Kwahio wote kwenye listi wamejitoa kwenye ugombea au?
 
Kwahio wote kwenye listi wamejitoa kwenye ugombea au?
Sipendi ligi za watoto. Wapo waliojitoa na kuhama chama ktk list hii Minda akadai wamekata tamaa. Wapo kama Sugu ambao wanachanja mbuga na sijamsikia akilalama ndo maana nikahoji. Mtu akihama chama sasa hivi si kukata tamaa bali ni tamaa! Sijui nimekusaidia kuelewa?
This is a none issue na kama hujanielewa basi naona hutaki au huwezi.
 
wakuu,
  • je ni kweli uvumi kwamba fedha za kugharamikia kampeni kwa uchaguzi wa mwaka huu ni za kugharamikia kampeni za urais tu? (moshi wa kwanza).
  • kwamba wagombea/viongozi wengi wana malalamiko ambayo hayasikilizwi na uongozi?
  • kwamba kutokana na kupuuzwa huko kwa wagombea/viongozi; hii imepelekea wengine kukata tamaa, na kukisaliti chama?
mfano wa watu hao ni kama akina;
  1. nakaaya ( kukata tamaa),
  2. akina seme wa mbeya ( kukata tamaa),
  3. akina nkambaku elisha (usaliti),
  4. yule mwanafunzi wa UDOM aliyegombea musoma na kuingia mtini ( kukata tamaa),
  5. akina sugu( kukata tamaa).
my take:
hii wakuu imekaaje? nini kifanyike kurekebisha hali hii?
Kama listi hii ni kufuka moshi tukikuletea listi ya waliohama CCM na kuingia upinzani si utasema CCM kunateketea na si kunawaka moto.
 
wakuu,

  • je ni kweli uvumi kwamba fedha za kugharamikia kampeni kwa uchaguzi wa mwaka huu ni za kugharamikia kampeni za urais tu? (moshi wa kwanza).
  • kwamba wagombea/viongozi wengi wana malalamiko ambayo hayasikilizwi na uongozi?
  • kwamba kutokana na kupuuzwa huko kwa wagombea/viongozi; hii imepelekea wengine kukata tamaa, na kukisaliti chama?
mfano wa watu hao ni kama akina;

  1. nakaaya ( kukata tamaa),
  2. akina seme wa mbeya ( kukata tamaa),
  3. akina nkambaku elisha (usaliti),
  4. yule mwanafunzi wa UDOM aliyegombea musoma na kuingia mtini ( kukata tamaa),
  5. akina sugu( kukata tamaa).
my take:
hii wakuu imekaaje? nini kifanyike kurekebisha hali hii?

Minda, sounds so gay-ish!
 
wakuu,

  • je ni kweli uvumi kwamba fedha za kugharamikia kampeni kwa uchaguzi wa mwaka huu ni za kugharamikia kampeni za urais tu? (moshi wa kwanza).
  • kwamba wagombea/viongozi wengi wana malalamiko ambayo hayasikilizwi na uongozi?
  • kwamba kutokana na kupuuzwa huko kwa wagombea/viongozi; hii imepelekea wengine kukata tamaa, na kukisaliti chama?
mfano wa watu hao ni kama akina;

  1. nakaaya ( kukata tamaa),
  2. akina seme wa mbeya ( kukata tamaa),
  3. akina nkambaku elisha (usaliti),
  4. yule mwanafunzi wa UDOM aliyegombea musoma na kuingia mtini ( kukata tamaa),
  5. akina sugu( kukata tamaa).
my take:
hii wakuu imekaaje? nini kifanyike kurekebisha hali hii?
kama kweli ko fair weka list ya waliohama chadema na waliohama ccm ndipo tuanze kujadili hii post.hapo ndio tutajua niwapi panafuka moshi na ni wapi pamebaki jivu ili penye moshi wachukue tahadhari waweze kuchukua nchi.
 
Watu wameshtuka na post hii.... ni sawa na kutupa upupu kwa mdomo..:mad2:
 
Freedom is expensive.Hawa ni wale walifikiri kuwa kazi ya ukombozi ni lele mama.See what they did to Mandela,walimfunga miaka 27 lakini hakukata tamaa.Jifunze kuhusu Baba wa Taifa Mwl.Nyerere je angekuwa ni mtu wa kukata tamaa kiivyo kama Nakaaya na hiyo timu yake tungepata uhuru kweli????????.DON'T GIVE UP PLEEEEEEEEESE.The play ground is not smooth.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom